Sumaye: CCM kaa chonjo

Sumaye ana kipi kipya..? Alwahi kuwa waziri mkuu! Msitegemee jipya toka kwake
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.

Mimi nilikuwa nadhani vinginevyo, kumbe unamaanisha vijembe!!??
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.


Ndugu,

Lazima uelewe kuwa Uwaziri Mkuu ni cheo cha kiserikali. Sumaye mbali ya kuwa mjumbe wa NEC na CC hakuwahi kuwa na wadhifa wowote ule ndani ya CCM. Sasa kwa kugombea uongozi wa kanda CDM ndio anaanza harakati za siasa za chama kama kiongozi na kuwa karibu zaidi ya wanachama wenzie.

Nasikitika sana mpaka leo bado Watanzania wengi tunashindwa kutofautisha kati ya chama na serikali kama vile bado ni 1991.
 
Ki
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.


. Katika siasa hilo si jambo geni! Kama mna kumbukumbu nzuri Comrade Mangula baada ya kutemwa ukatibu mkuu wa CCM na Jk mbona alikwenda kugombea nafasi ya m/kiti wa mkoa Iringa na akagaragazwa na mafisadi! Kwangu sioni cha ajabu kwa wanasiasa wetu.
 
Ndugu,

Lazima uelewe kuwa Uwaziri Mkuu ni cheo cha kiserikali. Sumaye mbali ya kuwa mjumbe wa NEC na CC hakuwahi kuwa na wadhifa wowote ule ndani ya CCM. Sasa kwa kugombea uongozi wa kanda CDM ndio anaanza harakati za siasa za chama kama kiongozi na kuwa karibu zaidi ya wanachama wenzie.

Nasikitika sana mpaka leo bado Watanzania wengi tunashindwa kutofautisha kati ya chama na serikali kama vile bado ni 1991.
Asante sana.You nailed it
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Angekuwa sio mwiba wasinge mzungumzia kwenye mkutano mkubwa kama ule mbona wewe hukutajwa
 
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.

Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.

Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.

Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Sasa hivo vijembe ndo nini kutoka kwa mheshimiwa
 
Nilifikiri ukiwa wa kimataifa unaacha kuzungumzia mambo ya mchangani. Kunani mpaka mkutano mkuu uzungumzie watu wa mchangani? Mnge wakaushia ningejua hawawatii kiwewe.
 
Back
Top Bottom