Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Ha ha ha.. Dah ulimwengu wa siasa una mambo sanaKwa sasa CCM inalia kilio cha mbwa mwitu mdomo juu
Ha ha ha.. Dah ulimwengu wa siasa una mambo sanaKwa sasa CCM inalia kilio cha mbwa mwitu mdomo juu
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Sumaye ana kipi kipya..? Alwahi kuwa waziri mkuu! Msitegemee jipya toka kwake
Kutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Asante sana.You nailed itNdugu,
Lazima uelewe kuwa Uwaziri Mkuu ni cheo cha kiserikali. Sumaye mbali ya kuwa mjumbe wa NEC na CC hakuwahi kuwa na wadhifa wowote ule ndani ya CCM. Sasa kwa kugombea uongozi wa kanda CDM ndio anaanza harakati za siasa za chama kama kiongozi na kuwa karibu zaidi ya wanachama wenzie.
Nasikitika sana mpaka leo bado Watanzania wengi tunashindwa kutofautisha kati ya chama na serikali kama vile bado ni 1991.
Wewe ulitaka usikie kwani yanakuhusu? Wewe fuatilia maigizo ya Dodoma na nyimbo za TOT Ndio size yakoKumbe Kamati Kuu imefanyika? Ndo kwanza nasikia hapa
Angekuwa sio mwiba wasinge mzungumzia kwenye mkutano mkubwa kama ule mbona wewe hukutajwaKutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.
Sasa hivo vijembe ndo nini kutoka kwa mheshimiwaKutoka Waziri Mkuu wa Tanzania mpaka kugombea Umwenyekiti wa Chama Kanda halafu bado anaiambia CCM ikae chonjo kwa sababu yeye ni mgombea wa Uenyekiti wa Kanda.
Sumaye wa leo anayegombania cheo na Kubenea ndiye anayeiambia CCM ikae chonjo. This is fun to say the least.
Bora hata Mbowe akisema CCM ikae chonjo unaweza kumsikiliza kwa makini kwa sababu hajawahi kuwa serikalini.
Kikwete amempiga vijembe kweli kweli na vijembe vimemfanya atoke ndani ya pango na kuanza kupiga kelele.