TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kwa hili la Sumaye kugombea uenyekiti kanda, kaonyesha ukomavu wa hali ya kuwa yuko tayari kuwatumikia wananchi Kwa karibu zaidi. Kumbuka hata Mwl Nyerere aliwahi kujiudhulu/zulu vyeo vikubwa na kuchagua vyeo vya chini ili aweze kutumikia wananchi kwa karibu!