Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Mojawapo ya hoja alizosema Sumaye Leo na waandishi kuwa ili mtu apate Urais ni lazima akubaliwe na Wananchi,chama na DOLA.kwa maana kuwa kimojwapo kikikutaa ,basi wewe uongozi unausikia kwenye bomba.
My take
Chadema wadai DOLA ilichakachua kura zake na kumtaganza JK kwa kuwa DOLA haikutaka Slaa apate urais,
Sasa imedhibtika rasmi kwamba madai ya chadema ni ya kweli kwa kuwa yamesemwa na mtu aliyeko jikoni mwa CCM.
My take
Chadema wadai DOLA ilichakachua kura zake na kumtaganza JK kwa kuwa DOLA haikutaka Slaa apate urais,
Sasa imedhibtika rasmi kwamba madai ya chadema ni ya kweli kwa kuwa yamesemwa na mtu aliyeko jikoni mwa CCM.