ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
katika kipindi cha dk 45 cha ITV leo, ametumia neno nchi za kiafrika lakini ndani yake ameongelea tanzania "kinyemela",
kasema tatizo kubwa la nchi za africa wanatumia uraisi vibaya, akasema unakuta mtu alikua mtu wa kawaida tu lakini gafla
amekua raisi basi amekua tajiri, watoto wake matajiri, anasema matatizo makubwa ni ufisadi na matumizi mabaya ya uraisi.
kingine aliulizwa mbona amekaa pembeni huku akiona nchi inaelekea kubaya? akasema hawezi kwenda kumsaidia mtu bila kuitwa,
tena akasema hata mzee mkapa alishalisema hilo swala kwenye mkutano uliofanyika pale mlimani city.
my take: hiki chama chao kinawaka moto kichinichini, yani wanauana kinyemela nyemela....yangu macho.
kasema tatizo kubwa la nchi za africa wanatumia uraisi vibaya, akasema unakuta mtu alikua mtu wa kawaida tu lakini gafla
amekua raisi basi amekua tajiri, watoto wake matajiri, anasema matatizo makubwa ni ufisadi na matumizi mabaya ya uraisi.
kingine aliulizwa mbona amekaa pembeni huku akiona nchi inaelekea kubaya? akasema hawezi kwenda kumsaidia mtu bila kuitwa,
tena akasema hata mzee mkapa alishalisema hilo swala kwenye mkutano uliofanyika pale mlimani city.
my take: hiki chama chao kinawaka moto kichinichini, yani wanauana kinyemela nyemela....yangu macho.