Ubaguzi huu wa ukanda tena kutoka UVCCM mkoa wa Pwani usipochukuliwa hatua utalipeleka pabaya taifa!
Ubaguzi huu wa ukanda tena kutoka UVCCM mkoa wa Pwani usipochukuliwa hatua utalipeleka pabaya taifa!
UVCCM wana mpango wa kupambana kina Sitta na Sumaye. Wanataka hawa wasipewe nafasi katika chama, wanadai watapigana ndani na nje ya chama kuhakikisha watu hawa hawapewi nafasi.
My comment:
Sitta yashaanza kumkuta ya UVCCM huko Tabora!
Nimejiunga na TANU tangu mwaka 66, mimi ni mwana CCM tangu 2007
Me mwenyewe bado sijapata anataka kutuambia nini!mbona kama bado anatoa introduction!!!!!! ...bado hajakomela sawasawa msumari
Makundi matatu yanayoamua nani awe kiongozi ni WANANCHI, CHAMA anachotoka mwanasiasa na DOLA
Hawa watu urafiki wao ni wamashakamashaka kama Paka na Panya, Ni muda mrefu hawajaonekana pamoja hadharani, Lakini Si unakumbuka ile Vita kati ya JK na FRED ya 2005, FRED alikuwa VICTIM na mpaka sasa amebaki hivyo, Na si yeye tu hata watu wooote ambao walikuwa nyuma yake nao walikuwa-Victimised. Lakini Pia huyu jamaa aliwekeza sana kwa ajili ya 2005, Kama si RA na EL ,JK alikuwa hana Kitu. Lakini usisahahu sasa kuwa watu wanajipanga kwa ajili ya 2015, Na FRED Bado ni mmoja wa watu wenye nguvu ndani ya CCM ndiyo maana UV-SISIEM wanacheza ngoma ile ile ya JK,RA na EL waliyocheza 2005.Asante mkuu!
I feel sorry for Sumaye! walimrushia makombora na mpaka leo inajulikana ni fisadi! leo hii UVCCM wanacheza michezo ile ile ya akina JK!
I believe huyu jamaa let say anakuwa rais kundi la JK litapata shida sana, wanampinga kwa nguvu zote wala asiwaze kuwa rais
Any one help: je kwa sasa sumaye na Lowasa uhusiano wao ukoje?
Nadhani itakuwa ni typing error.Eh, nchi hii bwana! Au Sumaye alimaanisha kujiunga na CCM 1977?
Anasema LENGO ni kuwajibu UVCCM, anatumia njia wanayotaka.Me mwenyewe bado sijapata anataka kutuambia nini!
Hawana nguvu kiivyo kwa sasa. Tuogope tu watu wa aina ya Rostam kama watakuwepo.UVCCM wana mpango wa kupambana kina Sitta na Sumaye. Wanataka hawa wasipewe nafasi katika chama, wanadai watapigana ndani na nje ya chama kuhakikisha watu hawa hawapewi nafasi.
My comment:
Sitta yashaanza kumkuta ya UVCCM huko Tabora!
Nadhani anatakiwa Rais Mlutheri. Lakini mbona Mchungaji wa Samunge ni zaidi ya Rais sasa?
CCM hiki kitu ndio hawataki kukisikia kabisa.Serikali yoyote iliyochaguliwa kidemokrasia LAZIMA itasemwa na kukebehiwa. Kiongozi yeyote na chama chochote kilichochaguliwa kidemokrasia, kitasemwa na watu watakikebehi. Si ajabu