mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
hivi huyu muzachai anaongea nini apo juu.........mi dar express ni usafiri wangu na wa wapenzi wengi wa safari zisizo na mashaka..masaa 9-10 barabarani!!mwendo mzuri/muda wa kuchuma dawa/lunch nzuri nz sina record yeyote seriuos ya mabasi haya achilia mbali siku hizi ajali za kaskazini zimepungua...........
kuna mkono wa sumatra hapa.si bure. yani hii nji hii nimeichoka.........kil akukicha ni visa dawa yenu ipo njiani anakuja nayo cameron
kuna mkono wa sumatra hapa.si bure. yani hii nji hii nimeichoka.........kil akukicha ni visa dawa yenu ipo njiani anakuja nayo cameron