washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Sasa mkuu wewe umegraduate juzi juzi tu unataka uwe senior accountant kweli wewe jamaa uko serious? Ndo mana graduates wengi tunakosaga kazi sababu tunataka posts za juu tu in short sisi graduates tusio na experience enty level zetu ni officers grade II sasa nakushangaa umesoma kote huko lakini hilo hulijui kua na CPA na BAchelor ya finance hakutoshi tu vitu vingine ni kujiongeza tu huwezi kutoka darasa la saba ukarukia kuanza form 2 au 3 lazima uanze form one etc huo ndo utaratibu mkuu over..!!
well said.sisi waajiri hatuna uhitaji na vyeti vyako bali performance.kuna nafasi zinahitaji kufanya strategic decisions,kama huna uzoefu hatuwezi kukupa nafasi kama hiyo hata ungekuwa na vyeti vya PhD