xb664
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 200
- 128
Ukikutana na wamasai.,wanaouza dawa za kienyeji waulizie na watakupa detail zake na inafanya kaz ganindiyo nini MKUYATI jamani
Ukikutana na wamasai.,wanaouza dawa za kienyeji waulizie na watakupa detail zake na inafanya kaz ganindiyo nini MKUYATI jamani
Hahahaaa... my dear everlenk uwanja wenu, Karibuni sana wapendwa wetu. Itakua ni faraja sana kuona mtu mmoja mahali anasidika kwa namna moja au nyingine.
Michango ya mawazo yenu wenu ni ya thamani na sana, Tafadahli karibuni na wadada wenzio . Most welcomed!!!!!
Many Thanks
cc Fixed Point, miss chagga, ICHANA, miss neddy, mwallu, Heaven on Earth, Karucee, @Howty Lady, Kongosho, lara 1 na wengineo wote
hahahhaaMaombi na kufunga
NawasubiriNgojaa wajeee
hiv hizi dawa za wamasai ni sahihi kweli kutumia namaanisha zimesibitishwa kwa matumiz tupe uzoefu wako kama kuna mtu alifanikiwaKula mizizi ya kimasai au super kamagra utakesha kifuani mpaka asubuhi