Nkandi
Member
- Nov 20, 2010
- 83
- 42
Wanajamii,
Baada ya kuona wajasilamali wanaongezeka,tuliona ni vyema kutafuata namna ya kuwasaidia wajasiliamali wadogo wapate namna ya kusafirisha bidhaa zao kutokea huku wanapoziagiza mpaka hapa nchi kwetu (Tanzania)
Hivyo tumeweza kushirikiana na kampuni za kimataifa za usafirishaji zenye kujali wajasiliamali wenye kipato cha chini kwakuwa mizigo yote usafirshwa na malipo ufanyiwa hapa hapa Tanzania baada ya mkataba maalumu, na kwa wale wenye biashara zilizorasimishwa upewa mkopo hadi wa siku 30 (30 days credit facility)
Kwa wale wanaopenda kuagiza moja kwa moja kwa watengenezaji,kutumia mitandao kama amazon.com au mizigo kutoka sehemu mbalimbali waweza kuwasiliana nasi kwa email: kkmarketing61@yahoo.com, tutazungumza mengi,tutakujuza pamoja na kukutembelea ofisini kwako.
NB: Huduma hii inahusisha kufikisha mzigo mikoa yote na kwa teknolojia ya kisasa kwa kuwa utaweza kuangalia upitia mtandao kuwa mzigo wako upo wapi (advanced tracking system)
Naomba kuwasilisha.
Baada ya kuona wajasilamali wanaongezeka,tuliona ni vyema kutafuata namna ya kuwasaidia wajasiliamali wadogo wapate namna ya kusafirisha bidhaa zao kutokea huku wanapoziagiza mpaka hapa nchi kwetu (Tanzania)
Hivyo tumeweza kushirikiana na kampuni za kimataifa za usafirishaji zenye kujali wajasiliamali wenye kipato cha chini kwakuwa mizigo yote usafirshwa na malipo ufanyiwa hapa hapa Tanzania baada ya mkataba maalumu, na kwa wale wenye biashara zilizorasimishwa upewa mkopo hadi wa siku 30 (30 days credit facility)
Kwa wale wanaopenda kuagiza moja kwa moja kwa watengenezaji,kutumia mitandao kama amazon.com au mizigo kutoka sehemu mbalimbali waweza kuwasiliana nasi kwa email: kkmarketing61@yahoo.com, tutazungumza mengi,tutakujuza pamoja na kukutembelea ofisini kwako.
NB: Huduma hii inahusisha kufikisha mzigo mikoa yote na kwa teknolojia ya kisasa kwa kuwa utaweza kuangalia upitia mtandao kuwa mzigo wako upo wapi (advanced tracking system)
Naomba kuwasilisha.