Suluhisho la kutetemeka kwa gari

Baraka sheni

JF-Expert Member
Jan 5, 2015
470
193
TATIZO LA GARI KUTETEMA.
- Kuna aina mbili za mitetemeko kuna mtetemeko wa ndani ya gari na kuna mtetemeko wa ndani na nje.

Kwa leo nitaelezea mtetemeko wa ndani.

- Mtetemeko huu unalikumba gari kwa ndani tu ila ukiwa kwa nje hauwezi kujua kama gari lina tatizo hilo.

*CHANZO:-
1- Hii inatokana na kuisha kwa vimipira (ENGINE MOUNT) ambavyo vina kaa kwenye maunganishio ya injini na mwili wa gari kama inavyo onekana kwenye picha.

2- Maji, maji yanapo kuwa katika maunganishio haya husababisha hivi vimipira kusagika kiurahisi , kufanya kuzalisha kwa usumaku ambao utafanya kuwepo kwa munganiko kati ya injini namwili wa gari.

[HASHTAG]#LENGO[/HASHTAG] LA KUWEKWA KWA VIPIRA HIVI( ENGINE MOUNT) NI KUONDOA MAWASILIANO KATI YA INJINI NA MWILI WA GARI.
[HASHTAG]#HIVI[/HASHTAG] VIPIRA HAVI FANYIWI SEEVICE BALI HUWA VINABADILISHWA.
wp_ss_20161121_0002.png
PicsArt_11_21_2016 21_25_35.jpg
wp_ss_20161121_0002.png
 
Topic nzur sana mkuu .
Pamoja na kutofautiana kwa aina za magari thamani ya kubadili inaweza cost how much(general price range)
Na je kuna atahari gani kwa engine kama haitobadilishwa?
Nashukuru kwa ufafanuzi
 
Mkuu nadhan umegusa sababu kiduchu saaaaana za chanzo cha kutetemeka kwa Gari. Mtafute mdau mwenye GLANZA umpe hiyo sababu atamaliza spea madukani na gari itaendelea kutetemeka. Kuna sababu zaidi ya 8 gari kutetemeka mojawapo ikiwa ni hiyo ya Mipira ya Maungio ama Engine Mounting.
 
Wakati mwingine hata exaust mounting zikiwa zimekatika pia zinapelekea gari kutetemeka kwa ndani likiwa halipo kwenyemwendo
 
Hapo nimeelezea mtikisiko ambao unatokea kwa ndani ila mtu akiwa kwa nje hawezi kuusikia.
Pia kuna mtikisiko ambao unatokea kwandani na kwanje na mtu akiwa pembeni ya gari anasikua huu nitakuna kuuelezea.
 
Back
Top Bottom