Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Two things hapa,either huna conceptual way of thinking through this issue,ama wewe ni mmoja wapo wa wanaosapoti kurejea kwa Sultan,if the latter is the case,then umo kwenye mojawapo ya magroup aliyoyataja MKJJ ambayo hayatavunjika kwa maridhiano ya kina Seif,kwa hiyo wewe ni kielelezo tosha kabisa kwamba tutaulinda muungano in any means neccessary,nazidi kujifunza hapa.
Ha ha weka conclusion upendavyo simjui sultan wala siwezi kufikiria hypothetical thing called sultan kuja kutawala popote katika tanzania?
Mwanakijiji anahofisha watanganyika (watawala) na wanaodhulumu kwa hadithi (hypothetical) enemy ambaye hayupo..nawasikitikia wazenj na watanganyika wanaolipia unyonyaji
Mtalinda by any means hata kama nikuua ndio lugha ya aliyezoea kula damu hawezi kuacha mtajiju wenyewe lakini hapa nitasema ukweli msidanganye semeni tunataka kuwatawala hao wazenj kama wanavyosema Israel kwa wapalestina no problem!