Sultani Jamsheed hakukana kiti cha Usultani wa Zanzibar

Two things hapa,either huna conceptual way of thinking through this issue,ama wewe ni mmoja wapo wa wanaosapoti kurejea kwa Sultan,if the latter is the case,then umo kwenye mojawapo ya magroup aliyoyataja MKJJ ambayo hayatavunjika kwa maridhiano ya kina Seif,kwa hiyo wewe ni kielelezo tosha kabisa kwamba tutaulinda muungano in any means neccessary,nazidi kujifunza hapa.

Ha ha weka conclusion upendavyo simjui sultan wala siwezi kufikiria hypothetical thing called sultan kuja kutawala popote katika tanzania?

Mwanakijiji anahofisha watanganyika (watawala) na wanaodhulumu kwa hadithi (hypothetical) enemy ambaye hayupo..nawasikitikia wazenj na watanganyika wanaolipia unyonyaji

Mtalinda by any means hata kama nikuua ndio lugha ya aliyezoea kula damu hawezi kuacha mtajiju wenyewe lakini hapa nitasema ukweli msidanganye semeni tunataka kuwatawala hao wazenj kama wanavyosema Israel kwa wapalestina no problem!
 
Mkuu inaonyesha wewe ni mtu wa jazba sana, lakini kumbuka hapa si mahala pake. Naomba utambue kitu kimoja tu, ujifunze kutofautisha FACTS na OPINIONS.

Ndio unasemaje? sina jazba ila nimkali kwa wazushi na waongo sasa kama na-sound kama na jazba sorry..this whole story is fabrication and nonsense!
 
Ha ha habari anazitunga kwa faida ya kudanganya, nimemuuliza hapo juu naona amekimbia maana hizo ni habari nimesisikia kutoka kwa viongozi wa Tanganyika ..ukienda mbele ili kuverify unagundua kuwa hizo ni lugha za Mtawala (mbara) ukimuuliza mtawaliwa (mzenj) anakwambia kitu tofauti sana!

Zanzibar ni nchi iliyoko kwenye demokrasia ya vyama vingi inawezakana vipi kurudi sultani, kama siyo hadithi za alinacha

Anachofanya hapa anawasaidia watawala bara..masikitika eti ameandika watanzania tunapenda mambo mepesi mepesi ..."Nimegundua anapenda mambo mepesi mepesi au anatumika"

Mimi napenda kumsikiliza anayedhulumiwa na si anayedhulumu asiyetenda haki

Hao viongozi wa Serikali ya Zanzibar ni watawala wa nani?Tukiwauliza wao ni watawaliwa ama watawala?
Kusema kwamba kwasababu Zanzibar iko kwenye demokrasia ya vyama vingi ndio maana haiwezi kurudi kwenye usultani ndo alinacha yenyewe.
Usimtukane mkunga na uzazi ungalipo....Issue ya Zanzibar nionavyo mimi ilikuwa na sawa na maji kumwagika na muungano ndo ulitumika kama tambara la kujaribu kuyanyonya ili kusave the situation kwani huwa hayazoleki tena,sasa wewe unapiga kelele tukamue tambara maji yajitenge,hilo halikubaliki.....Consequences zake ni beyond imagination,lets focus on the positive side of the union,how are we going to perfect it etcetera.
 
Tumain; refrain from attacking people but their arguments. If you continue your tirades of personal nature I will ban you until you calm down. There is no need to call people names to reinforce your arguments. It is the only public warning i'm giving you.
 
Ha ha weka conclusion upendavyo simjui sultan wala siwezi kufikiria hypothetical thing called sultan kuja kutawala popote katika tanzania?

Mwanakijiji anahofisha watanganyika (watawala) na wanaodhulumu kwa hadithi (hypothetical) enemy ambaye hayupo..nawasikitikia wazenj na watanganyika wanaolipia unyonyaji

Mtalinda by any means hata kama nikuua ndio lugha ya aliyezoea kula damu hawezi kuacha mtajiju wenyewe lakini hapa nitasema ukweli msidanganye semeni tunataka kuwatawala hao wazenj kama wanavyosema Israel kwa wapalestina no problem!

Ala!Unapotetea issue ya Sultani unaitaja Tanzania kwa adabu kweli,lakini unajisahahu unarudi kwenye upuuzi wako kwenye following paragraphs.
Kwanini usiheshimu the fact kuwa mwenzio kaumiza kichwa kuja na hoja zenye akili,na wewe si ufanye the same ili mjadala uwe makini kuliko kuruka ruka kama panzi?
 
Zenji wanataka utawala wa zamani, sasa hakuna sababu ya kutoana ngeu hapa. Mwisho ya yote tutarudisha watemi.
 
Hao viongozi wa Serikali ya Zanzibar ni watawala wa nani?Tukiwauliza wao ni watawaliwa ama watawala?
Kusema kwamba kwasababu Zanzibar iko kwenye demokrasia ya vyama vingi ndio maana haiwezi kurudi kwenye usultani ndo alinacha yenyewe.
Usimtukane mkunga na uzazi ungalipo....Issue ya Zanzibar nionavyo mimi ilikuwa na sawa na maji kumwagika na muungano ndo ulitumika kama tambara la kujaribu kuyanyonya ili kusave the situation kwani huwa hayazoleki tena,sasa wewe unapiga kelele tukamue tambara maji yajitenge,hilo halikubaliki.

Uonavyo wewe na mwanakijiji nitafuuti kabisa na waonavyo wazenj wenyewe..nyinyi kina nani kuwasemea wao..ndio ukoloni wenyewe ambao sitaki kuwa part of this evil called bara
 
MwanaKijiji this is totally unacceptable and it shows at best your facts twisting behaviour which gets too much into you bana mdogo. You will pay for the sin......

Moja, Niambie duniani Kiongozi yeyote aliyepinduliwa na akakubali mapinduzi. Lipi la ajabu kwa Jamshid. Unaleta propaganda mbaya sana ambazo zitabeba ubaguzi wa rangi na nashangaa kwa nini unakuwa IRRESPONSIBLE kiasi hiki.

Burundi alipinduliwa Mfalme ' Mwami' Mwambutsya mwaka 1962 na mpaka leo watoto wake wanaamini haikuwa sawa lakini hakuna dalili zozote za Burundi kurudisha Ufalme.

Rwanda alipinduliwa Mfalme Kigeli V na mpaka leo yupo Marekani anadai ufalme wake na hakuna Rwanda dalili za kumrejeshea ufalme huo. Walipinduliwa pia kina viongozi wengine na hawakukubali na walidai haikuwa sawa nao watarudi?

Kuna Mfalme kule Barotseland Zambia mpaka leo anasema ile ni nchi kamili kufuatilia mkataba wa zama za ukoloni na Kaunda alikataa. Je unataka kusema madai yake hayo basi atarudi?

Tanzania Mwalimu alifuta Uchifu lakini mpaka leo kuna machifu na watoto wao hawakubaliani na uamuzi ule. Unataka kusema nao tutakuja kuwarudisha.

Umeandika hii post yako kwa kuwa ni Zanzibar. Kwa kuwa ni Mwarabu. Kwa kuwa ni Muislam.

Ujue wasomaji wako ni waislam na wakristo na watu wa rangi zote.

Hii post yako ni irresponsible na ni propaganda za CCM dhidi ya Wazanzibari na umoja wao. Huijui historia ya Zanzibar na unajiweka weka tu matokeo yake unataka kumwaga sumu zile zile za kusema CUF waarabu na watamleta Sultan. Upuuzi kabisa.

Kwa taarifa yako ndani ya CUF wote wale ni ASP na hakuna ZNP mle wala UMMA.

Ushindwe na ulegee
 
Sio sultani tuu, wazanzibari wenyewe hawajakubali bado kuwepo kwa muungano.

Bora tuanze na hao walio ndani ya visiwa kwanza, halafu ndio tutizame kama muungano utakuwepo...then tumuulize na Sultani


Sina uhakika kama makubaliano baina ya CUF na CCM yana uhusiano wa moja kwa moja na usultani iwapo wote wanatambua kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoundwa kutokana na mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 na uhuru wa Tanganyika wa mwaka 1961.


Tatizo linalojitokeza hapa ni pale tu watakapokubaliana kuwa muungano wa Tanzania siyo halali na hivyo uvunjwe.

Kuharamisha kwa muungano ni kuharamisha kwa mapinduzi ya Zanzibar pia na hivyo kuifanya hii katiba ya sasa ya SMZ kuwa ni batili kwa vile haikuhusisha "wazanzibari wote" hasa wale wenye asili ya kiarabu waliofukuzwa kutokana na mapinduzi yale. Itabidi Zanzibar irudie ile katiba yake ya kwanza iliyopitishwa na kukubaliwa na pande zote "zilizowakilisha wazanzibari" katika mkutano wa Lancaster house. kurudi kwa katiba ile ndiko kunamfanya Sultani Jamshid anrudi kwenye nafasi yake.

Ninadhani vile vile kuwa wanasiasa wengi wa Zanzibar wako makini sana kutotamka hadharani kuwa wanataka wavunje muungano kwa sababu wanajua jinsi walivoingia madarakani kwa mgongo wa mapinduzi na muungano huo, na jinsi kuondoka kwa kimojawapo kunavyowavua madaraka hayo.

Ikumbukwe pia kuwa effort yoyote ya kuvunja muungano ni treason chini ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa sababu ina maana ya kumnyang'anya madaraka rais halali wa jamhuri ya muungano wa tanzania kinyume cha Katiba.
 
Ala!Unapotetea issue ya Sultani unaitaja Tanzania kwa adabu kweli,lakini unajisahahu unarudi kwenye upuuzi wako kwenye following paragraphs.
Kwanini usiheshimu the fact kuwa mwenzio kaumiza kichwa kuja na hoja zenye akili,na wewe si ufanye the same ili mjadala uwe makini kuliko kuruka ruka kama panzi?

Katika hili hajaandika chochote na wala hajaumiza akili yeyote mwanangu wa somo la historia darasa la sita anaandika haya mambo ya sultani ambayo ni past old fashied hypothetical enemy! gosh!

Sultan sultan miaka 50 ya uhuru what a nonsense, walioko bara na visiwani hayo yako kwenye mafaili yaliyooza kwa vumbi...

Kuandika mambo kama haya inaonyesha upeo wa mhusika..siye wa kufikiri future kila siku anaangalia backward..hatuna huo muda sasa.

Wekeni muungano barazani tuujadili kwa haki..siyo kututishia kwamba tutaulinda kwa nguvu zote why? kwanini tulipie kitu kisocholeta tija kama maji shinyanga bila sababu?
 
bigilankana; Kila nchi ina historia yake unique,hizo nchi ulizozitaja si Zanzibar,Zanzibar ni sehemu ya muungano wa Taifa la Tanzania,kwa hiyo ni kwei hatuwezi kuruhusu mazingira ya Sultani kutawala sehemu ya Tanzania.
Historia ya Tanzania ni unique usisahau hilo.
 
Tumain; refrain from attacking people but their arguments. If you continue your tirades of personal nature I will ban you until you calm down. There is no need to call people names to reinforce your arguments. It is the only public warning i'm giving you.

Mmeshaanza mambo godfathers wa JF which names exactly let me know?
 
bigilankana; Kila nchi ina historia yake unique,hizo nchi ulizozitaja si Zanzibar,Zanzibar ni sehemu ya muungano wa Taifa la Tanzania,kwa hiyo ni kwei hatuwezi kuruhusu mazingira ya Sultani kutawala sehemu ya Tanzania.
Historia ya Tanzania ni unique usisahau hilo.

Huyu sultan anayetaka kutawala zanzibar ni yupi? kwahiyo anakuja kumfukuza rais wa CCM/CUF kwa kutumia jeshi lipi?

Msiwadanganye wabongo kwa hypothetical enemy?
 
Katika hili hajaandika chochote na wala hajaumiza akili yeyote mwanangu wa somo la historia darasa la sita anaandika haya mambo ya sultani ambayo ni past old fashied hypothetical enemy! gosh!

Sultan sultan miaka 50 ya uhuru what a nonsense, walioko bara na visiwani hayo yako kwenye mafaili yaliyooza kwa vumbi...

Kuandika mambo kama haya inaonyesha upeo wa mhusika..siye wa kufikiri future kila siku anaangalia backward..hatuna huo muda sasa.

Wekeni muungano barazani tuujadili kwa haki..siyo kututishia kwamba tutaulinda kwa nguvu zote why? kwanini tulipie kitu kisocholeta tija kama maji shinyanga bila sababu?

Ni kweli hapo kwenye highlights na nimeshasema pia hapo nyuma kama unafuatilia mjadala huu kwa makini,nilisema hata mimi nilikuwa naimba tu kama kasuku kuwa sultani atarudi,lakini nilikuwa sijapata darasa la kiundani kama ninalopata hapa,na kwa hvyo sasa hivi nikisema hivyo itakuwa tofauti na nilivyokuwa nikisema hapo nyuma mithili ya huyo mtoto wako wa darasa la sita!Kusema na kuelewa ni vitu viwili tofauti kabisa!
 
Ha ha weka conclusion upendavyo simjui sultan wala siwezi kufikiria hypothetical thing called sultan kuja kutawala popote katika tanzania?

Mwanakijiji anahofisha watanganyika (watawala) na wanaodhulumu kwa hadithi (hypothetical) enemy ambaye hayupo..nawasikitikia wazenj na watanganyika wanaolipia unyonyaji!

Hivi Zanzibar wananyonywa kwa kiasi gani na Bara? Je, Watanganyika /Bara wanafaidi vipi matunda ie. kama wengi (Zanzibarians) wanavyosema koloni la Zanzibar? Mwenye figures tafadhali aweke hapa na sisi tujue nani anakula hiyo keki peke yake tena kwa kujificha bila mamillioni ya wabara kujua.
 
Huyu sultan anayetaka kutawala zanzibar ni yupi? kwahiyo anakuja kumfukuza rais wa CCM/CUF kwa kutumia jeshi lipi?

Msiwadanganye wabongo kwa hypothetical enemy?

Hakuna anayezungumzia kufukuzwa kwa rais yeyote chini ya muungano,you got it twisted brah...Hana haja ya jeshi,nani anayekwambia hakuna wanaotaka arudi?Na unaposema atakuja kumfukuza rais wa CCM/CUF una maana gani?Rais wa wapi?Sultani hawezi kumfukuza mtu kama muungano upo,na kwahivyo hoja yako hapo inakuwa ni hoja mfu....Ila kama hakuna muungano,je ni rais gani huyo wa CCM/CUF atakaekuwa anaitawala hiyo nchi unayodai kuwa rais wake atafukuzwa?Ni nchi gani hiyo itakayomfanya Sultani atake kurudi zaidi ya ile ya pre 1964?
Take your time utajikuta unaelewa....It takes time.
 
Hivi Zanzibar wananyonywa kwa kiasi gani na Bara? Je, Watanganyika /Bara wanafaidi vipi matunda ie. kama wengi (Zanzibarians) wanavyosema koloni la Zanzibar? Mwenye figures tafadhali aweke hapa na sisi tujue nani anakula hiyo keki peke yake tena kwa kujificha bila mamillioni ya wabara kujua.

Great Idea! hayo ndiyo yangekuwa mambo ya maana kuliko kutuambia "tutalinda muungano kwa nguvu zote"?? wakisema hivi maana yake wabara tujua tunapata zaidi?

Vinginevyo wangesema tuweke faida na hasara za muungano barazani/public watu waamue with mutual respect
 
jamani sasa nimege, nitafune, nikulishe hadi nikumezee?

Inategemea, wapo waliokuwa hawaoni tofauti ya usultani na utawala wa monarchy.Ndio maana nikataka kujua muelekeo wako wewe ni kwanini ukasema hio serekali iliyopinduliwa ilikuwa tofauti na utawala mwengine wowote ule kama UK,NL, na nchi nyengine Middle East.
 
Hana haja ya jeshi,nani anayekwambia hakuna wanaotaka arudi?Na unaposema atakuja kumfukuza rais wa CCM/CUF una maana gani?Rais wa wapi?Sultani hawezi kumfukuza mtu kama muungano upo,na kwahivyo hoja yako hapo inakuwa ni hoja mfu....Ila kama hakuna muungano,je ni rais gani huyo wa CCM/CUF atakaekuwa anaitawala hiyo nchi unayodai kuwa rais wake atafukuzwa?
Take your time utajikuta unaelewa....It takes time.

It takes no time bana! hii si trinity issue is not that difficult?

Rais ninaye mzungumzia ni wa zanzibar wenye jeshi lao (suppose wakijiondoa kwenye muungano) huyu sultani anawezaje kumfukuza rais wa ccm/cuf kutoka oman wherever he is? kama siyo danganya toto eti watanganyika wanawalinda wazenj?

Lindeni vibibi vyenu kule shinyanga vinavyouawa kwa uchawi achani wazenj? after all hatuna resources za kuchezea hivyo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom