Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Hivi karibuni kijana wa Tanzania Alijeruhiwa kule india. ..ikawa nongwa magazeti mitandao zogo ...wahindi hivi na vile..likawa zogo waziri akatoa statement....kelele na ubaguzi ukashika kasi.
Mwezi huu Watanzania 3 watatu wamepigwa shaba huko USA .....kimyaaaaaaaaaaaaa. Hakuna hao wazungu wabaguzi yaani ni kama aagh madam kauliwa na mzungu it is ok ni sawa tu.....hizi ndio ngano zetu.
Mwezi huu Watanzania 3 watatu wamepigwa shaba huko USA .....kimyaaaaaaaaaaaaa. Hakuna hao wazungu wabaguzi yaani ni kama aagh madam kauliwa na mzungu it is ok ni sawa tu.....hizi ndio ngano zetu.