Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Viongozi vilaza always huwa wanataka kusema katika accomplishment zao "Tulifanya mkutano fulani fulani tukaalika watu fulani"
Zanaki alisema Sullivan is more about JK than about helping investment in Tanzania.JK knows his is a sinking ship na kama a typical mfamaji anayetapatapa na kushikilia hata unywele unaoelea, alitaka tu kupata kitu cha ku divert attention ya watu na yeye kuonekana kama anafanya kitu, lakini ni wazi hiki kitu hakijawa carefully thought out kabisa.
Sasa msubirini misifa tu akiulizwa ulifanya nini kuhusu investment, utamsikia "tulifanya Sullivan Summit"
Mie hata nachoka kwa nini watu wanakuwa na expectations zozote.JK hanishangazi tena na performance yake (rather lack of), nashangazwa na watu ambao bado wana confidence kuwa JK anaweza kufanya kitu cha maana along these lines.
Zanaki alisema Sullivan is more about JK than about helping investment in Tanzania.JK knows his is a sinking ship na kama a typical mfamaji anayetapatapa na kushikilia hata unywele unaoelea, alitaka tu kupata kitu cha ku divert attention ya watu na yeye kuonekana kama anafanya kitu, lakini ni wazi hiki kitu hakijawa carefully thought out kabisa.
Sasa msubirini misifa tu akiulizwa ulifanya nini kuhusu investment, utamsikia "tulifanya Sullivan Summit"
Mie hata nachoka kwa nini watu wanakuwa na expectations zozote.JK hanishangazi tena na performance yake (rather lack of), nashangazwa na watu ambao bado wana confidence kuwa JK anaweza kufanya kitu cha maana along these lines.