Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
The Spin-off thread!!
Ziwekee maneno picha zifuatazo:
(Dokezo - Pichani ni Balozi mstaaf wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Retzer)
"Retzer:...jamaa machale yamempanda nini?? mimi nimekuja na ki-surveillance kamera changu kumpiga picha na suit za Savile Row naona kanivalia Mao Suit, ngoja nijichekeshe tu hapa..."
"Mh. Sana:... mwone huyu, anafikiri wabongo hatuwajui njama zao, nimvalie suti zangu za ng'ambo akanifanye kituko huko makwao anakorudi..."
......
......
Ziwekee maneno picha zifuatazo:
(Dokezo - Pichani ni Balozi mstaaf wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Retzer)
"Retzer:...jamaa machale yamempanda nini?? mimi nimekuja na ki-surveillance kamera changu kumpiga picha na suit za Savile Row naona kanivalia Mao Suit, ngoja nijichekeshe tu hapa..."
"Mh. Sana:... mwone huyu, anafikiri wabongo hatuwajui njama zao, nimvalie suti zangu za ng'ambo akanifanye kituko huko makwao anakorudi..."
......
......