Sugu & vinega watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko

Don't generalize, kama kuna mischief imetokea katika this particular charity itaje.

Ama sivyo utakataza watu kutoa kwa sababu tu "in the name of giving so much mischief has already been witnessed in this world"

Kama wewe huna roho ya kujitolea waache wenzako.

Kiranga,

Tatizo lako haufuatilii hizi events carefully.

Tamasha lilivyoisha, SUGU alitangaza kuwa nyomi ilikuwa kubwa sana kwenye concert na akawashukuru sana watu wa jiji la Mbeya kwa kile alichokiita unconditional love walioionyesha ya kujaa kwenye tamasha.
Wakati wa kutoa report ya mapato, SUGU huyohuyo anatoa kauli tofauti. This time anasema walitarajia waingie watu 5000-10000 lakini wamepata watu 1200 tu. SUGU kama mzoefu wa muziki wa kufokafoka jukwaani anajua kwamba watu 1200 sio nyomi. Kwa hiyo aliposema imekuja nyomi, ina maana kweli aliiona nyomi and that nyomi lazima ionekana kwenye mahesabu pia.
Watu 1200 hata wale waganga wa kienyeji wa mitaani wanaweza kuwapata, sasa all the matangazo etc waliyofanya ndio yamevuta watu hao tu katika home city ya SUGU?

Swali lingine la kujiuliza, yaani kweli ufanye tamasha halafu waingie watu 1200 kamili?!!! hata sio 1289, 1176 au 1235 yaani namba fulani more realistic.

Tatizo letu watanzania tumezoea kuacha mpaka demage ifanyike ndio tukosoe. I choose to be different, nimeona usanii unafanyika kwenye hii movement ya antivirus na ninawaeleza mapeeeeeeeeeeeeema. Mwenye kusikia na asikie...
 
Clouds Mbona Wamekusanya Michango ya Watu haswa wasanii kisha wao Wametoa Basi Kupeleka Msaada tu . Jamaa Wasaniii!
 
haya mapambano ndo yameanza. watu wa iyunga washatambua umuhimu wa vinega. VInega haina mdhamini wala wala radio ya kutangazia mambo yake. lakini hata wewe uliopo jf unajua kinacho endelea. asante kwa support yako wewe mwenye roho ya kizalendo ya kuhakikisha watanzania wote tunaungana kwa sauti moja ya kupiga vita unyonyaji wa kazi za sanaa na ukilitimba uliopo kwenye mziki wa nyumbani. hata wanao ipinga vinega si mda mlefu watatukubali. tusubili tunakuja hapo ulipo. na hii ni kwa TANZANIA NZIMA. Mia
 
Watu wengine wanabwabwaja tu or hiyo namba imekuwa kamili 1200 kwa nini isiwe 1286 au 1270 kana kwamba hujui maana ya makadirio?
Yeye ametangaza hivyo kama figure rahis kuelewka, umejaribu kunukuu taarifa yake lakini suala la kwamba mvua kubwa ilinyesha mjini mbeya wakati wa tamasha hilo mbona hujasema?
Anashukuru wana mbeya kwa sababu mvua ilinyesha sana lengo lao lilikuwa kupta watu 5000 na kuendelea, kwa kunyesha mvua kubwa ndio maana walipata watu 1200 ambayo sio haba!
Wafu fm wanewahi kutangaza wamepata gate collection kiasi gani toka uanze kuwafahamu?
Mbona hawasaidia chochote kwa jamii kutoka mifukoni mwao? Acha roho mbaya Vinega wamefanya kwa kiwango chao na kwa pesa waliyopata mbona wengine hatuoni wametoa nini?
Go go go SUGU & VINEGA
 
Clouds Mbona Wamekusanya Michango ya Watu haswa wasanii kisha wao Wametoa Basi Kupeleka Msaada tu . Jamaa Wasaniii!

Clouds peke yao hawana ubavu huo, hawawezi fanya jambo lolote mpaka wapewe udhamini na makampuni ndio maana wana wakameroon ili wapate udhamini, wao kama wao peke yao hawawezi wamebakia kupiga domo tu media ya mashoga
 
haya mapambano ndo yameanza. watu wa iyunga washatambua umuhimu wa vinega. VInega haina mdhamini wala wala radio ya kutangazia mambo yake. lakini hata wewe uliopo jf unajua kinacho endelea. asante kwa support yako wewe mwenye roho ya kizalendo ya kuhakikisha watanzania wote tunaungana kwa sauti moja ya kupiga vita unyonyaji wa kazi za sanaa na ukilitimba uliopo kwenye mziki wa nyumbani. hata wanao ipinga vinega si mda mlefu watatukubali. tusubili tunakuja hapo ulipo. na hii ni kwa TANZANIA NZIMA. Mia




Watakubali tu kuwa Vinega now ndio wajenga njia.
Bila wao kina Jay Moe, Inspekta Haroun na Afande Sele Wasingeitwa kupiga show ya DMX feki.
Bila wao kutoa 33% ya mapato yao ya show ya Mbeya kuwasaidia wana mbeya, Clouds wasingedai na wao kutoa 30%.

Vinega keep It Up
 
Kuweka hesabu sawa, kama kila tikiti ya Tshs. 3,000 imetoka Tshs. 1,000 then wananchi wamepata Tshs. 1.2 manake tamasha limeingiza Tshs. 3.6. Fally Arusha kwa shoo iliyovunjika alikunja Usd 25,000 mbombo jilipo"kuwakomboa wasanii bongo bado sana
 
msiingize uchonganishi wa sugu na clouds hadi katika masuala ya charity
michango yao tumeiona basi ilimradi tunasaidia ndugu zetu walioadhirika
sio kuleta ushabiki usio na maana wakati hujachangia kitu.
 
Sugu a.k.a Joseph Mbilinyi pamoja na kundi la vinega wametoa msaa wa gunia 42 za mahindi kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea siku chache mkoani mbeya!
Msaada huo wa gunia 42 una thamani ya mil 1.2 fedha ambazo zilipatikana katika asilimia ya kiingilio cha tamasha lao mjini mbeya mkesha wa kuamkia x mass.
Vinega walipanga kutoa tshs 1000/= kwa kila tiketi ya tshs 3000/= ya kiingilio cha tamasha hilo!
Swali vp Clouds fm wazee wa promo mbona hatujaona mchango wao wowote katika maafa haya ya mafuriko?au hata msaada ili watoe inabid wapewe udhamini na airtel?
Faida wanazopata kwa matamasha yao kila mwezi wanashindwa kutoa hata 1% kwa waathirika wa mafuriko?
Ama kweli wafu fm & na baba yao rugay ni wanyonyaji wa sanaa ya bongo


Hao mpaka wawatangazie watu wakachangie wenyewe hawana ubavu
 
Ukiwa na roho ya mtu kama huyu Zemarcopolo ujanani basi kabla ya kufikia uzeeni ni lazima uwe mchawi.
 
Kiranga,

Tatizo lako haufuatilii hizi events carefully.

Tamasha lilivyoisha, SUGU alitangaza kuwa nyomi ilikuwa kubwa sana kwenye concert na akawashukuru sana watu wa jiji la Mbeya kwa kile alichokiita unconditional love walioionyesha ya kujaa kwenye tamasha.
Wakati wa kutoa report ya mapato, SUGU huyohuyo anatoa kauli tofauti. This time anasema walitarajia waingie watu 5000-10000 lakini wamepata watu 1200 tu. SUGU kama mzoefu wa muziki wa kufokafoka jukwaani anajua kwamba watu 1200 sio nyomi. Kwa hiyo aliposema imekuja nyomi, ina maana kweli aliiona nyomi and that nyomi lazima ionekana kwenye mahesabu pia.
Watu 1200 hata wale waganga wa kienyeji wa mitaani wanaweza kuwapata, sasa all the matangazo etc waliyofanya ndio yamevuta watu hao tu katika home city ya SUGU?

Swali lingine la kujiuliza, yaani kweli ufanye tamasha halafu waingie watu 1200 kamili?!!! hata sio 1289, 1176 au 1235 yaani namba fulani more realistic.

Tatizo letu watanzania tumezoea kuacha mpaka demage ifanyike ndio tukosoe. I choose to be different, nimeona usanii unafanyika kwenye hii movement ya antivirus na ninawaeleza mapeeeeeeeeeeeeema. Mwenye kusikia na asikie...

Kibongobongo ukiona nyomi hesabu robo wameingia bure nusu wamelipa kiingilio ambacho si rasmi yaani wamehonga walonzi au mabaunsa halafu tena hujahesabu complimentary... ndo maana wasanii wa bongo hawaendelei...mshabiki anaingia kwenye show bure na nyimbo anaburn bure hii ndo bongo sanaa ya muziki ni burudani sio ajira
 
Jambo jema sana alilofanya sugu na vinega ni hatua kubwa sana kwa muziki wa Tanzania ..........ila hii tabia ya kuponda tu clouds sio nzuri mbona wametoa misaada na kuhimiza watanzania wenye uwezo wa kujitolea wafanye hivyo.
 
Back
Top Bottom