naomba maana ya neno suruhisho'kwani kabla hujatuma post huwezi kusoma na ku edit?
Lakini hivyo vitu vidogo vidogo visipokolewa na kurekebishwa ndio huzaa makosa makubwa baadaye. Wala usimuone mbaya huyo aliyerekebisha... chukulia hiyo kuwa ni sehemu ya kujifunzaHaku edit sawa, kwani hujaelewa alikuwa na maana gani? Jifunze kuwa muungwana na si kukimbilia kukosoa vitu vidogo vidogo na kama hukuelewa alichokiandika ungehamia kwingine mimi binafsi sipendi tabia hizi za watu kutembea na madaifu ya wengine, kaka haijanifurahisha.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
sugu muhuni tu. Form four failure.
acha pumba wewe, kwani form iv ndiyo nini? Wewe na elimu yako imekusaidia nini?Sugu muhuni tu. Form four failure.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Ww ambaye sio muhuni na haukufeli form four, Una wadhifa gani hapa nchini, Na watanzania wanakufahamu kwa lipi?Sugu muhuni tu. Form four failure.
mararamiko/malalamiko, maudhui/mauzui, muuguzi/muhuguzi, silaha/siraha. acha ujinga mkuu huku kukosea kosea maneno kwa kijinga kunawafanya wengine wasielewe kinachoendelea. kumbuka jf inasomwa na wengi duniani
Na mheshiwa mbunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
so what?Sugu muhuni tu. Form four failure.