Bado yuko bize Magogoni tusimtafute, anaendelea kuwahonga pilau baadhi ya viongozi wa BAKWATA kumpigia hivo hivo chapuo katika masuala mbali mbali nchini na kumsambaratishia mbali Maadui wakubwa Maaskofu na vyama vya upinzani nchini.This is very interesting!!
HIVI RAIS YUKO WAPI? ANAUMWA? MBONA HAONGEI KAZI YAKE NINI?
Hakuna cha intelijensia wala nini hapa! Kule Arusha waliamua kuua coz walitumwa na serikali ya CCM. Huko Mbeya hawatafanya lolote tena sababu wameshaona ujinga waliofanya kule unavyowagharim sasa. So HATA WEWE KAMA UNA HAJA YA KUANDAA MAANDAMANO YA AMANI ANDAA TU POLISI WAMESHAKUWA WAPOLE GHAFLA.Vipi taarifa za ki-intelijensia, zinasemaje! Ah aijipiiiiiiiiiiiiii! sasa wanaandamana tu bila vurugu zilizokuwa forecasted na geshi la porisi!
Hakuna cha intelijensia wala nini hapa! Kule Arusha waliamua kuua coz walitumwa na serikali ya CCM. Huko Mbeya hawatafanya lolote tena sababu wameshaona ujinga waliofanya kule unavyowagharim sasa. So HATA WEWE KAMA UNA HAJA YA KUANDAA MAANDAMANO YA AMANI ANDAA TU POLISI WAMESHAKUWA WAPOLE GHAFLA.
Walianza Tunisia wamekuja Algeria ngoja yafike hapa
Maumivu ya kichwa huanza pole pole, kosa kubwa la polisi na serikali yake ni kuua kule Arusha sasa kila wanapotaka kuzuia maandamano lazima wajiulize mara mbilimbili kabla ya kutekeleza, wakati wanajiuliza wananchi ndio wanazidi kupata nguvu za kuandamana mwisho wake ni maandamano ya nchi nzima yasiyo na kikomo trust me.Ni fundisho kubwa sana hilo kwa serikali, wafanyakazi kuikataa serikali ndio mwanzo wa mapinduzi.
This is very interesting!!
HIVI RAIS YUKO WAPI? ANAUMWA? MBONA HAONGEI KAZI YAKE NINI?
Maumivu ya kichwa huanza pole pole, kosa kubwa la polisi na serikali yake ni kuua kule Arusha sasa kila wanapotaka kuzuia maandamano lazima wajiulize mara mbilimbili kabla ya kutekeleza, wakati wanajiuliza wananchi ndio wanazidi kupata nguvu za kuandamana mwisho wake ni maandamano ya nchi nzima yasiyo na kikomo trust me.
Kumbukeni haya ni maandamano ya TUCTA na sio CHADEMA
Tangu jk aingie madarakani viongozi wa serikali kukatawalina na wakati mwingine kuzomewa imekuwa ni kawaida. Duuu! Watanzania sasa wamejanjaruka!!.
Hakuna cha intelijensia wala nini hapa! Kule Arusha waliamua kuua coz walitumwa na serikali ya CCM. Huko Mbeya hawatafanya lolote tena sababu wameshaona ujinga waliofanya kule unavyowagharim sasa. So HATA WEWE KAMA UNA HAJA YA KUANDAA MAANDAMANO YA AMANI ANDAA TU POLISI WAMESHAKUWA WAPOLE GHAFLA.
This is very interesting!!
HIVI RAIS YUKO WAPI? ANAUMWA? MBONA HAONGEI KAZI YAKE NINI?
Wamemualika mbunge ambaye ni mwanachama wa CHADEMA, na kumkataa mtendaji wa serikali!!!Kumbukeni haya ni maandamano ya TUCTA na sio CHADEMA
This is very interesting!!
HIVI RAIS YUKO WAPI? ANAUMWA? MBONA HAONGEI KAZI YAKE NINI?
Intelijensia yako inasemaje??????