Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,011
Akiongea kwa nguvu zote wakati wa kuchangia riport za kamati za kilimo na maliasili,Mh mbilinyi alisema amechoswa na wabunge magoigoi na kuendelea kusema kuwa amesikia wakitamba kuwa awatojiuzulu kuwa huu ni
upepo utapita,alisisitiza kuwa huu si upepo bali ni kimbuga kikosa nyumba lazima kiondoke na bati! alisisitiza kuwa chadema wako bungeni kuhakikisha wanawapeleka mchakamchaka mawaziri wa jk ili wajue jinsi ya kutenda kazi! Akionesha kukelwa na matatizo ya wizara ya maliasili alisema ingekuwa ni nchi nyingine wangesha shikana humu bungeni lakini kwa sababu ya ustaharabu inabidi awarekebishe kwa mdomo na kusisitiza kuwa wanchi wamechukia sana, na huu si upepo bali ni kimbunga. aliendelea kusema kuwa mawaziri hawanabudi kujiuzulu kwani wapo wenye uwezo wa kufanya kazi,makofi yaliendelea kumiminika.
BUNGE LITAENDELEA SAA11 JIONI
upepo utapita,alisisitiza kuwa huu si upepo bali ni kimbuga kikosa nyumba lazima kiondoke na bati! alisisitiza kuwa chadema wako bungeni kuhakikisha wanawapeleka mchakamchaka mawaziri wa jk ili wajue jinsi ya kutenda kazi! Akionesha kukelwa na matatizo ya wizara ya maliasili alisema ingekuwa ni nchi nyingine wangesha shikana humu bungeni lakini kwa sababu ya ustaharabu inabidi awarekebishe kwa mdomo na kusisitiza kuwa wanchi wamechukia sana, na huu si upepo bali ni kimbunga. aliendelea kusema kuwa mawaziri hawanabudi kujiuzulu kwani wapo wenye uwezo wa kufanya kazi,makofi yaliendelea kumiminika.
BUNGE LITAENDELEA SAA11 JIONI