kwani kama uliangalia bunge jana zaidi nusu ya wabunge hawakuwepo bungeni, sasa wewe unadhani mbunge ni sugu pekeyake?Mbona Luanda na Uwanja wa Sokoine ni sehemu mbili tofauti?Sugu tumekuwa tukimsikia akiipromoti fiesta.Lakini ngoja tukae kimya, habari kamili zitatufikia tu.Swali la kizushu:-hivi bunge limeisha? Inakuwaje Sugu awepo jimboni kwake badala ya kuhudhuria vikao vya bunge?
hauwezi kwisha kirahisi hivyo, clouds walitumia nguvu nyingi sana kukandamiza wakati wa uchaguzi, vijana wa mbeya ndio walimuambia afanye hilo tamashaUgomvi wa Sugu na Clouds una muda sasa...km umewahi kusikia albamu ya Antivirus utakua unaelewa picha inayoendelea..binafsi nafikiri Sugu afike mahali ajitambue sasa na kuonesha amekua!
Ugomvi wa Sugu na Clouds una muda sasa...km umewahi kusikia albamu ya Antivirus utakua unaelewa picha inayoendelea..binafsi nafikiri Sugu afike mahali ajitambue sasa na kuonesha amekua!
Hata hivyo mwenzao sasa ni mheshimiwa wao wauza sura tu.Lakini ni hao hao Clouds ambao kila kukicha hawaishi kumchokoza chokoza na kumpaka matope inawezekaana kabisaa wanatumiwa au wanalipwa na ccm kwa kufanya hivyo, hence akiwa kama politician inabidi ajibu mapigoo sio kunyamaza tuu akiwaangalia vibaraka wa ccm wakimchafua tuu kila siku
jibu la kizushi,, hataki posho.Mbona Luanda na Uwanja wa Sokoine ni sehemu mbili tofauti?Sugu tumekuwa tukimsikia akiipromoti fiesta.Lakini ngoja tukae kimya, habari kamili zitatufikia tu.Swali la kizushu:-hivi bunge limeisha? Inakuwaje Sugu awepo jimboni kwake badala ya kuhudhuria vikao vya bunge?
Ukicheche wa magamba mkuu!kwani kama uliangalia bunge jana zaidi nusu ya wabunge hawakuwepo bungeni, sasa wewe unadhani mbunge ni sugu pekeyake?
Sugu hajaandaa tamasha lolote ila habari kutoka Mby ni kwamba kuna kampuni imeandaa tamasha mby na Sugu ni mgeni rasmi. Wasanii mbalimbali watatumbuiza bure Afande sele, mchizi mox , mkoloni, gsolo na wengine maarufu. Clouds wanahofia fiesta kudoda na hili suala la kumshikilia sugu ni kosa la kiufundi