Leo nilikuwa namskiliza Mh. Sugu na jinsi nlkuwa namskiliza katika mchango wake katika wizara ya mambo ya ndani! Na ndpo nlpokubali kuwa wanabongo flavour n wakali kwenye kila idara hata siasa.
kwakweli nlfurah zaid jinsi alivyokuwa akiibua hoja na kuisapoti sio kama wanamagamba weng ambao hujiita wakongwe bungen lakn mwisho wa siku wanatoa hoja na kukosa maelezo ya ktosha kusapot hoja zao kias unashndwa kujua ameongelea nn.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.