nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
WaTanganyika mnanishangaza sana tena sana . Hapa la Kusaga na Ruge kupewa studio mnalalamika mbona suala la MoU ya kanisa na Serikali hamlalami?
Au kwa kuwa nanyi mpo kwenye kunufa
Acheni unafiki .Poleni sana,
kwani we al zakhawi ni mtanzania?