zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
kumlinganisha SUGU na Dr. Mwakembe??????????? hapa nadhani kuna tatizo
tuwe wakweli jamani huu upovu unaotokana na ushabiki ni mbaya sana
ok. kwahyo unataka kusema sugu moto chini kwa mwakyembe kwakuwa tu mwakyembe ni dr. au? uadilifu na utendaji ndo kipimo mkuu, u'dr. wa mwakyembe unaweza ukafunikwa na std 7. chukulia umlinganishe sugu na dr. jakaya, hapo vp?