King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Kijana ambaye al-maarufu kama said sugu mkazi wa mombasa mjini unguja(zanzibar) amebuni gari aina ya sugu yenye muundo wa bajaji,akichezesha taya na mtangazaji wa star tv,said sugu alisema gari yake imemgharimu sh za kitanzania mil2 na imemchukua mwaka m1 kulikamilisha,mbunifu huyo sugu mwenye elimu ya darasa la 11 amesema gari yake ina uwezo wa kutembea km20 kwa lita 1 na ina max speed ya 60km/h! Wadau Tumpe support maana amelalamika serikali(kupitia,WS na Elimu ya juu) awamsaidii.
Nawasilisha.
Nawasilisha.