Sugar free.

ZENITH

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
905
593
Bibi kakamatwa kwa kuiba pakti ya sukari super market.Alipoulizwa kwa nini aliamua kuiba sukari,akajibu;"nilifika hapa kwa malengo ya kununua juisi,nilipochukua kopo la juisi,kwenye label yake limeandikwa'SUGAR FREE',ndiyo maana nikalipia juisi peke yake nikidhani sukari ni zawadi ya ziada kwa kila mteja atakaenunua juice".
 
Back
Top Bottom