Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
bila ubishi wa nyerere na akina kenyatta yaani viongozi waliokuwa na uchu wa madaraka wakati ule hivi leo kama ilivyo USA tungekuwa na United States of Africa
sipati picha hiyo USA ya africa ingekuwaje, ingekuwa donda ndugu maana maamuzi ndani ya baadhi ya states ingekuwa balaa zaidi.