Sudan kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

mdau wetu

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
548
58
Tangu kuanza tena mchakato wa Jumuiya ya Afrika Mashariki mengi yamejitokeza yakiwemo ya kuongezeka Rwanda na Burundi katika jumuiya hiyo. Sasa kuna maombi ya Sudan yako mezani yakisubiriwa kukubaliwa au kukataliwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC. Kikao cha kujadili hilo na mengineyo kimeanza leo Bujumbura, Burundi. Kuongezeka wanachama hata ambao kijigrafia hawako Afrika Mashariki kutakuwa na maana gani? manake naona sasa imekuwa jumuiya ya Afrika Mashariki, kati na.... mchango wenu wadau.
 
Ilishakataliwa kipindi kirefu, kwa sababu zifuatazo:
Kwanza haipakani na mwanachama yeyote wa EAC,
Pia inatakiwa iwe nchi isiyo na utegemezi ktk dini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom