...Ombi hilo liliwasilishwa muda mrefu, baada ya S.Sudan kuwa Taifa huru.Sudani (khartoum) inewasilisha ombi la kutaka kujiunga na jumuiya ya afrika mashariki. source BBC
Tayari wana mgogoro wa kidiplomasia na Kenya. Rais wao anatafutwa na ICC kwa sababu za makosa za mauaji ambavyo katika nchi zetu zote za EAC sisi ni wanachama.Sudani (khartoum) inewasilisha ombi la kutaka kujiunga na jumuiya ya afrika mashariki.
source BBC
Bring them on board tunahitaji soko kubwa kuharakisha maendeleo, mzungu kupitia berlin conference ndio katugawa. Na DRC tunawahitaji, manake sudan kenya watapiga bao zaidi ila congo tutafunika.
Tayari wana mgogoro wa kidiplomasia na Kenya. Rais wao anatafutwa na ICC kwa sababu za makosa za mauaji ambavyo katika nchi zetu zote za EAC sisi ni wanachama.
Kwanza itabidi Sudan ifanye reform katika maswala ya kisiasa na demokrasia.
Kiukweli Albashir sio rais wa kuungana naye hata kidogo. Anaongoza nchi kwa mkono wa chuma tofouti na nchi zetu za EAC.