Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wadau nakumbuka miaka hiy Olevel tukifundishwa masomo mbali mbali ya sayansi. kuna badhi ya mambo ilitakiwa tufanye practical lakini kutokana a kutokuwepo maabara na vifaa tuliishia kukariri picha mnato za kwenye vitabu.
Lakini karne hii ya dot.com
CHemistry- Acid Base Introduction
Kuna ugumu gani hapa?
F ngapi zitabadilishwa kuwa C au D na B ngapi zitabadilishwa kuwa A kama wanafunzi wakipata acess ya vitu kama hivi ??
Khan Academy inafadhiliwa na Billgates na madhumuni yake ni kusaidia nchi kama zetu lakini sijui kama Watu wa wizaarni au wabunge wetu wanaijua hii tovuti. Na kama wanajiua wamefanya nini ? Tusijisahu wenye siasaaaaa tuuuuu jamani
ICT for better change
Nawasilisha
Lakini karne hii ya dot.com
- kwa nini wanafunzi washindwe kuona hizi practical japo kwenye video DVD.?
- Ni gharama iasi gani Wizara kutengeneza DVD za practical zote za masomo ya sayansi na kuzigawa kwenye mashule?
- NI gharama kiasi gani kila shule kuwa na Video Labaratory
- Itakuwaje kama mwanafunzi amabaye hakulewa somo au kipindi fulani cha sayansi au hesabu darsani akiweza kupata video yake?
CHemistry- Acid Base Introduction
Kuna ugumu gani hapa?
F ngapi zitabadilishwa kuwa C au D na B ngapi zitabadilishwa kuwa A kama wanafunzi wakipata acess ya vitu kama hivi ??
Khan Academy inafadhiliwa na Billgates na madhumuni yake ni kusaidia nchi kama zetu lakini sijui kama Watu wa wizaarni au wabunge wetu wanaijua hii tovuti. Na kama wanajiua wamefanya nini ? Tusijisahu wenye siasaaaaa tuuuuu jamani
ICT for better change
Nawasilisha
Last edited by a moderator: