Subiri walimu

Bait

Member
Mar 17, 2012
24
0
dent m1 aliambiwa aandke alama za barabarni iweke kwenye bararbara iptayo shulen kwao akaandika “tafadhari endesha kwa uangalfu na ucwangonge wanafunzi subiri walimu ”
 
Awagonge walimu??? Wa kike ama wa kiume??? Mbona hamsomeki awagongeje? Au mnamaanisha kuwagonga ipi wakuu mm niko mbali sana.
Hauko mbli ila unfkiria mbal mzaz.... inamaana kuwagonga na gari
 
Back
Top Bottom