wakuu naomba msaada hapa,
nina subaru forester 1998 model,taa ya check engine kila wakati inawaka na kuzima,imeanza week iliyopita,tatizo litakuwa ni nini??je kuna madhara gani naweza pata ndani ya gari kwa hilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.