Suala la posho za wabunge

Kibaya zaidi ni kwamba posho hulipwa kwa kila kikao. Kama kamati ya bunge ikiamua kukaa mara tatu kwa siku, wajumbe watapata posho mara tatu. Htaa kama kuna mfumo wa kusimamia idadi ya vikao, huu mfumo ni matashi ya mtu - inategemea kaamkaje siku hiyo, au busara zake zimekaa vipi wakati huo.

Mimi nadhani ni bora wawaongezee tu mishara iwe hata 10 Million na waue posho kabisa.
 
Hii ndio aina ya viongozi tulionao Tanzania, hata siku moja hakuna anayefikiria wananchi zaidi ya kujifiria wao
 
mi naamini walipaswa kumsikiliza wapime kisha wafanye maamuzi.hii ya kumhukum pinda bila kumsikiliza ni kosa kubwa sana.
 
Inasikitisha sana, tuna viongozi ambao matumbo yao yako wazi. Wanakula hawashibi. Pinda alikuwa anataka kuwaburuza madaktari jumapili ili akimbilie kupata posho jumatatu. Maslahi yao yamewekwa mbele kuliko maslahi ya umma. Ee Mungu tusaidie msaada utatoka kwako tu na si hawa viongozi waliojiingiza wenyewe madarakani kwa rushwa, wanataka kurudisha pesa zao.
 
Mgomo wa madaktari umeiweka mahali pabaya serikali na bunge. Kwa serikali ni vigumu sana kuwa convince wananchi kuwa serikali haina hela ya kuboresha hali ya hospitali zetu wakati wao wabunge wanataka waongezewe posho. Kama watakuwa na hela za kuwaongezea wabunge basi wakatafute chanzo hicho hicho cha hela cha kuboresha mahospitali na maslahi ya madaktari.
Kama wabunge wanaona posho haitoshi si wajiuzuru, wakati wanagombea ubunge si walijua kiasi gani watapata.
Nilitamani sana polisi na walimu wangeitisha mgomo kutokana na ukata wa maisha waliokuwa nao
 
Naliona kwa wazi bila chenga anguko la utawala dhalimu wa CCM. Asante Mungu kwa kuwatia upofu hawa majambazi hadi kufikia kutoa maamuzi yanayowatia kitanzi mbele ya umma wa walala hoi wa nchi hii.SIKU ZOTE MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
Kwani Vasco amerejea toka Uswisi? Au kapelekewa document asainie huko huko??
 
mi naamini walipaswa kumsikiliza wapime kisha wafanye maamuzi.hii ya kumhukum pinda bila kumsikiliza ni kosa kubwa sana.

Wewe unaamini madaktari walipaswa kumsikiliza Pinda lakini huamini kuwa Pinda alipaswa kuwasikiliza madaktari?

BTW, Madaktari walimsikiliza Pinda kupitia TBC alipokuwa analeta ngonjera mbele ya kadamnasi aliyojiandalia (Kwasababu alijua fika kuwa madaktari hawapo; unafikiri alitoka Ikulu hajui Karimjee kuna wakina nani?), hivyo hawajafanya kosa. Ndiyo maana wakamjibu kwa vitendo kuwa, sasa hata hao wagonjwa wa emergency hatuwatibu na kwingine walirejea kwenye vituo vya kazi na walisaini ila wasiwahudumie wagonjwa.

Je! Hadi sasa huyo Pinda wako amewasikiliza madaktari?
 
huyu mzee anatakiwa kupigwa mawe hadi kufa

ana uzee gani huyo!!!ni sura mbaya tu!!na watu wanafiki na wenye roho mbaya kama yake wanakuwa na makunyanzi usoni!!wazee wana busara bwana wasingeweza kuongea upupu juu ya madaktari!!!
 
Back
Top Bottom