kwa Taarifa zisizo na shaka toka chanzo maalumu, suala la posho za wabunge limeleta mtafaruku katika kikao cha wabunge kupata muhutasari wa kitakachojadiliwa bungeni.kikao hicho kinaendelea sasa hivi. Muda huu wabunge wote wameungana kumtukana ZITTO ambaye ametoa hoja posho zifutwe madaktari walipwe, kuanzia SPIKA hadi PINDA wote wanamuattack ZITTO na wengine kadhaa wanamtukana JANUARI MAKAMBA.
nitawapasha kitakachoendelea, ZITTO kawaambia hamnifanyi lolote na ukweli ndo nishawaambia hivyo.
nitawapasha kitakachoendelea, ZITTO kawaambia hamnifanyi lolote na ukweli ndo nishawaambia hivyo.