klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
- Thread starter
- #81
Now u r talking my gentlelady.u are still lucky my gentleman
Now u r talking my gentlelady.u are still lucky my gentleman
thread closed tayari tuanze kuulizana habari za toka jana?
hahaah karib deskmate! kwanza toa mchango wako halafu chakachuathread closed tayari tuanze kuulizana habari za toka jana?
Kumbe deskmate ni cousin wako?nakumisi cousin
Kumbe deskmate ni cousin wako?
Sasa kama hamnitambulishi nitajuaje? OMGulikuwa hujui?
MIss you too. Siku hizi niko night shift. lolnakumisi cousin
Ndio, ni cousin wangu, mtoto wa mjomba. Sote tunamwita AshaDii Shangazi.Kumbe deskmate ni cousin wako?
Siwezi kujibu hiliswali kabla hujajibu langu kwanza: hivi wewe ni dini gani?hahaah karib deskmate! kwanza toa mchango wako halafu chakachua
Umesha fanya kitu gani hapa, just tell me everything!Sasa kama hamnitambulishi nitajuaje? OMG
Sasa kama hamnitambulishi nitajuaje? OMG
Umesha fanya kitu gani hapa, just tell me everything!
Cousin, huyu mtu kakufanya nini?
Hahaha deskmate bana! sasa suala la dini ndio litajibu sredi kweli?Siwezi kujibu hiliswali kabla hujajibu langu kwanza: hivi wewe ni dini gani?
We nijibu kwanza, jibu langu linaanzia hapo...Hahaha deskmate bana! sasa suala la dini ndio litajibu sredi kweli?
heheeh hamna kitu bana just nimeshangaa tu si ni alama ya mshangao?Umesha fanya kitu gani hapa, just tell me everything!
Cousin, huyu mtu kakufanya nini?
Huyu ukimwambia mtakatifu atanikonfyuzi na ivuga, jaribu kumfafanulia kwamba sitendi zambi.hehehe! Cousin huyo mtakatifu hana neno. Lol
Deskmate mbona leo umekuja kimaajabu ajabu? lolWe nijibu kwanza, jibu langu linaanzia hapo...
Kama huna dini nambie pia (maana siku hizi tumevamiwa)
Umemtaja Ivuga moyo umeshtuka. sijui yuko wapi sasa hiviHuyu ukimwambia mtakatifu atanikonfyuzi na ivuga, jaribu kumfafanulia kwamba sitendi zambi.
Basi tuachane na hilo swali tuendelee na mengineDeskmate mbona leo umekuja kimaajabu ajabu? lol
Umemtaja Ivuga moyo umeshtuka. sijui yuko wapi sasa hivi
Ukimuona mwambie Anti kaja, alete sasa barua ya posa
Hapo in bold: are we still talking about you?:A S 39:
Enhee mpenzi wako ambae una asilimia kubwa kwamba ana mapenzi ya dhati na wewe akiteleza utamhukumu vipi? Utamtema au utamtupia lawama za kuangukia kwenye vishawishi tu?Basi tuachane na hilo swali tuendelee na mengine