njoo jionee vipaji vya IT sua.
Na pia copy & paste....Unajua maana ya IT??<br />
<br />
Kujua Kutumia Ms Word na Excel ni kipaji???<br />
Tutakuja kuona mnavyojua ku -Bold
Sawa tutakufikia,kwema lakini?njoo jionee vipaji vya IT sua.
Ahahahahaaah!! Simbi.....umenikumbusha mbali sana mkuu!kula <font color="#ee82ee"><i><b>SIMBI!</b></i></font> TUTAKARIBIA
Mmmh!! Huyu Sembuche ni soo, chupuchupu anikate kichwa, sijui bado yupo..karibu sana, mi ntakuja nimuone sembuche tu!
Mwaga shule kaka kobello,hivi ni nini hasa maana ya hili neno maana tuko hapa kujifunza.Kwani IT lazima ihusiane a computer(PC)?