Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Hivi hawa madereva wa magari ya serikali wanajiona wapo juu ya sheria, maana leo tumepanga folen ya pantoni limekuja hili gari limejipenyeza mbele kabisa, alivyo sio mstaarabu hata kuomba, matokeo yake kagonga gari la watu then kaendelea kwenda, na mbaya zaidi hata nauli ya kivuko hawalipi. Hebu wandugu nisaidieni ukiendesha gari la serikali ndio ticket ya kuvunja sheria?