fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Wana JF, niliwahi toa mada yangu hapa kuhusu ufungaji wa ndoa kwa maharusi walio wengi siku hizi unakuta tayari bibi harusi ni mjaa mzito, sasa hii ndo staili ya kisasa? hebu fungua hiyo linki hapo chini usome kisa hicho
http://www.mwananchi.co.tz/habari/3...usi-ashikwa-uchungu-ajifungua-kanisani-muheza
http://www.mwananchi.co.tz/habari/3...usi-ashikwa-uchungu-ajifungua-kanisani-muheza