Stupid question, stupid answer

lol jf bana meniacha hoi mecheka mie hadi basi, mie natoaga hapa nakrem kwenda kumchekesha mpenz tuwapo kitandani tunacheka mwisho tunaishia mpenz zima taa..... dear toa shuka...... swt kitanda kinapiga kelele lol kweli jf dozi kamili ukiitumia vzr wikend hiyooooooooo full kujiachia
Ok,ni double u kei en di to you!
 
muhudumu anakuletea beer halafu anakuuliza nifungue unamjibu hapana funika
au unamjibu leta maji nimezee
 
mtu anakuambia "mkuu nasikia jana uliondoka na yule demu" unamjibu "hata mimi nimesikia pia"
 
mtu anakuona mjamzito tumbo kubwaa,halafu anakuuliza"heee shoga kumbe mjamzito".....unamjibu hapana nna safura.
 
eti unaenda dukani...naomba vocha ya vodacom?
muuzaji anajibu....ipo ya zantel....

huo ni uchizii maana nimeomba ya voda na sio zantel
 
:lol::lol::lol: mmenifurahisha. mtu anakukuta uko jikoni unapika tena ndio mwiko na sufuria ugali unakaribia kuiva halafua anakuuliza unapika ugali == hapana napika wanzuki. au anakukuta ukoo nyumbani umekaa kwenye cherehani yako unashona anakuuliza vipi unashona hapana nafumua.
 
Siku moja nilimtembelea ndugu yangu, tukiwa sebuleni tunaangalia TV mwanamume alinyanyuka na kuanza kuondoka, mkewe akamuuliza "UNAKWENDA KULALA?" mumewe akamjibu "NAKWENDA KUSIMAMA". Nilicheka sana siku ile, bali jamaa alikuwa mtu wa jokes sana.
 
Siku moja nilimtembelea ndugu yangu, tukiwa sebuleni tunaangalia TV mwanamume alinyanyuka na kuanza kuondoka, mkewe akamuuliza "UNAKWENDA KULALA?" mumewe akamjibu "NAKWENDA KUSIMAMA". Nilicheka sana siku ile, bali jamaa alikuwa mtu wa jokes sana.
Inategemea na mke uliyenaye,wengine shari tupu.
 
Mtu anapiga simu saa 8 usiku,alafu anauliza umelala? namjibu "Hapana nipo nje naota jua"
 
ha ha ha ha haaaa nimevunjika mbavu aisee. Mtu anakuona unafukuzia demu anakuuliza unataka ukamtie? Unamjibu nataka tukaimbe kwaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom