Uwiiii jamani, stop it mnaziumiza mbavu zangu. uwiiiiiiiiiiiiii
Mtu anakuona umeongozana na mke wako mjamzito tumbo kubwa kabisa tena mpo knilini anakuuliza
VP naona mama mambo tayari, unamjibu bado, amekula hamira ndo tunaenda kukaanga maandazi.
Mtu anakuona umeongozana na mke wako mjamzito tumbo kubwa kabisa tena mpo knilini anakuuliza
VP naona mama mambo tayari, unamjibu bado, amekula hamira ndo tunaenda kukaanga maandazi.
mtu anakuulza mzima?unamjibu hapana nimekufa
Hahahahahaaa!!!!Mtu upo ndani ya lift room ya chini kabisa,mtu anakukuta anakuuliza vp unakwenda juu?,unamjibu;[hapana nasubiri chumba changu kishuke toka juu niingie].
Unatakiwa umwambie, hapana, nimeweka screen server!!!anakuona umefumba macho umelala halafu anauliza.unalala?
Hapana silali,najaribu kufa
{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!]
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].