Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!]
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].