Mkoani Mara wanaovaa nguo za CCM ni wachache sana. Hata wakipewa bure hawataki. Mpaka hivi sasa hakuna alieenda kujaza fomu za Uongozi wa Serikali za mitaa kupitia CCM.Ha ha ha ha alishasema vicent Nyerere kuwa badala watembee uchi basi wapokee vitisheti
Hapo inabidi Chadema watumie makachero watakaojifanya kuwa ni ccm ili wachukue hizo fomu na kisha kutwaa uongozi wa serikali za mitaa. Chadema wekeni mapandikizi yenu ndani ya ccm ili ife vizuri!!Mkoani Mara wanaovaa nguo za CCM ni wachache sana. Hata wakipewa bure hawataki. Mpaka hivi sasa hakuna alieenda kujaza fomu za Uongozi wa Serikali za mitaa kupitia CCM.
Mkuu hiyo photo..naomba usiendelee kuianika hivyo!
Hivi ni kweli kwamba ccm pamoja na usheani wote huu bado tu wanataka kuendelea kutawala?Mauaji ya mwenyekiti wa Chadema!!!
Ni uchaguzi ujao pia watapima ilani za vyama kabla ya kuamua.CCM has the best manifesto
Lakini si ndio hali halisi ya vitendo vya viongozi wa chama tawala, samaki mmoja kwenye kapu akioza huo uvundo utauvumilia?????Nakuunga mkono. Inabidi tuheshimu na kumpa privacy marehemu na pia tuheshimu hisia za familia yake hata kama tuna masikitiko na tulimpenda, kumthamini na kuheshimu mchango wake