study medicine in tanzania

mwafrika12

Member
Mar 26, 2012
7
0
hello jf
i am wondering if any doctors on the forum know if it is possible for foreigners to enrol in tz universities to study medicine. how much does it cost?
 
pre-medical school ndio nini?
kama hukuwahi ingia high school (PCB)unaweza kuwa umesoma diplom za medical assistant, medical lab.sciences, dipl in parmacy ( hizo course zote zinaweza kukusaidia kuingia course ya medicine), kama uko USA unafanya kwanza course ya masaomo ya medicine not much in details nayo huitwa pre-medical na unaweza hitumia hiyo kuingia katika vyuo vya TZ. asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom