MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,215
Heshima kwenu wote na poleni na mihangaiko ya kila siku,
Jamani kama kuna wajumbe mliopitia mzumbe university main campus najua tumeelewana sana kuhusu hiyo kitu inaitwa KIU
Binafsi ilikuwa inanikera sana enzi za first year nina mzuka wa chuo huku bado nina kiburi cha ma cutt of point ya form six lakini
nilivyo report campus tu usiku wake nikakutana na kitu tofauti mara mjumbee mjumbeee... ambacho kilinifanya nicheke sana na
kupoteza mawazo yangu yote, wajumbe wote tuliopita mzumbeni tujikumbushe ur experience na hii kitu, kama mnakumbuka
hilo post ya kuwaponda wakata kiu 2007 iliyobandikwa chuo kizima yenye title Hongereni sana wakata kiu" iliyosababishwa nisakwe
sana na wadau, ni mimi ndo niliiandika na nashukuru hadi namaliza hawakunipata... Missing campus life alot​
Jamani kama kuna wajumbe mliopitia mzumbe university main campus najua tumeelewana sana kuhusu hiyo kitu inaitwa KIU
Binafsi ilikuwa inanikera sana enzi za first year nina mzuka wa chuo huku bado nina kiburi cha ma cutt of point ya form six lakini
nilivyo report campus tu usiku wake nikakutana na kitu tofauti mara mjumbee mjumbeee... ambacho kilinifanya nicheke sana na
kupoteza mawazo yangu yote, wajumbe wote tuliopita mzumbeni tujikumbushe ur experience na hii kitu, kama mnakumbuka
hilo post ya kuwaponda wakata kiu 2007 iliyobandikwa chuo kizima yenye title Hongereni sana wakata kiu" iliyosababishwa nisakwe
sana na wadau, ni mimi ndo niliiandika na nashukuru hadi namaliza hawakunipata... Missing campus life alot​