jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 39
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My God!! but hii picha imenikumbusha Mbali sana!! hii Tulikua tunaita '' Dark cornering'' kuna mshkaji alinaswa na Demu wake jamaa akakimbia akamuacha demu. Demu akabanwa ikabidi amtaje mskaji and he was suspended indefinately!!!
Whaaaaaaaaaat???? mmmmm hao wanafunzi nao wameshinda!!! demu hata hamuoni mpiga picha!!! anajisikilizia utamu!!!!!
Vya chap chap ni vitamu je wewe ulikuwa unavuonaje vivian
si mchezo ndo yanayoendelea huko mashuleni????
Mbona haya ni madogo? Kuna jamaa yangu aliitwa kusilikiliza kesi ya mtoto wa ndugu yake (yeye ndiye alikuwa mlezi wake), na kuambiwa kuwa wakati wa lunch, huyo mtoto aliamua kukamua darasani mbele ya wenzake. Nasikia alikuwa anapigiwa makofi kama Star anayeenda kupokea Oscar award! Mtoto akafukuzwa shule na huyo ndugu yangu akaamua kumbemba na kumrudisha kijijini mara moja. Hakutaka hata kumfikisha nyumbani kwake kwa sababu ana mabinti 2. Kwa hiyo yapo mengi tu huko shuleni sema tu hatuyaoni wala kuyasikia.
Hii kitu siajawahi fanya! nimemjua mwanaume nikiwa chuo!!! some 4yrs back. najua hutaamini but thats the fact!!
Jaribu siku moja cha chap chap uskisikilizie siyo lazima shuleni unaweza fanya supp!
My dignity doesnt allow!!! You mean you still do those things??? Just be frank Kabweka. kwahiyo wewe mummy unambamiza kwenye ka uchochoro na kula Tunda!! LOL
Hii kitu siajawahi fanya! nimemjua mwanaume nikiwa chuo!!! some 4yrs back. najua hutaamini but thats the fact!!
Siamini kwamba ulishindwa kusubiri zaidi mpaka utakapoolewa...unless ndo ulikuwa umeolewa! Na hapo sitashanga kwani ndivyo inavyotakiwa...
ha ha ha ha!Quite difficult myfriend!! yaani kitendo cha kuruka viunzi mpaka sekondari, najiona kama vile bado sijaguswa!! in todays world haya mambo ni magumu! tena sana! just say congrats to me meeen!!! tena unafaa unibonyezee kabani bana
ha ha ha ha!
na zile biils zako za dola mia sita kwa mwezi STILL MTU AKUANGALIE TU!
ha ha ha ha ha!Najua Geoff hujanisoma! What am saying niruka viunzi, nilipofika chuo mambo yakaenda ndivyo sivyo!! ila mzee memory yako inatisha!!
Ni halali kwa wanafunzi wa secondari kuwa na mahusiano haya?
My God!! but hii picha imenikumbusha Mbali sana!! hii Tulikua tunaita '' Dark cornering'' kuna mshkaji alinaswa na Demu wake jamaa akakimbia akamuacha demu. Demu akabanwa ikabidi amtaje mskaji and he was suspended indefinately!!!