Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,043
nimpitia hiyo link... mkenya mzalendo ana point! .. kiswahili sisi wenyewe wa tanzania tuna kiharibu na maneno ya kimtaani... mwisho wa siku wageni wengi wanaishia mombasa kwenda kujifunza kiswahili fasihi.. wa tanzania tuamke leoo hii kuna neno haina majotrooo! that's rubbish
Kila lugha ina slang mkuu,,hiyo ndo ishara kuwa lugha inakuwa,,hata kingereza kila uchwao maneno mapya yanibuka..!