Bonnie1974
JF-Expert Member
- Mar 19, 2008
- 407
- 16
Hi ! mama hujambo? long time heehDada kwani weye hukuwa na kungwi/somo wakati unaolewa? au hata shangazi? mbona kuna mbinu mbadala zinazokubalika hasa kwa wakati kama huo?
MJ1 makungwi na masomo , zamani siyo sasa.
La msingi hapo afanye masturbation.It is vey health, it helps a man/woman 2 relax.Asikutishe mtu kuwa ina madhara,unatakiwa tu kuwa imaginative . Inasaidia sana hasa kwenye zama hizi za HIV/AIDS. Madiba alitumia sana hii technique.