Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,633
its complicated...
Come on Boss..you can do better than that facebookish one liner!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
its complicated...
nadhani mzazi mwenye hekima anajitahidi kwa kila hali kutoonesha upendeleo kwa baadhi ya watoto.bt with time unajua kabisa wanakua wanategemea zaidi kutoka kwa mtoto huyu (coz of iq,matokeo mazuri shuleni etc). though badae sana wanakuja kugundua pengine umdhaniaye ndie siye (mj1 aliongelea hapa heshima ya mtoto wa kiume kuliko wa kike,bt baadae mtoto wa kike ndo anasaidia ama kutoa tafu kuliko aliyetegemewa). nili-notice dadangu kuitwa 'mama', spoiled brat like NN, bt maybe aftr 3 boys a lil gal was such a bundle of joy. lakini kupendana was the 11th commandment in the house. kiasi kwamba hata ukichokozwa,ukarusha kofi ama say a bad word utaadhibiwa pia kwa sababu violence was nt among the choice of solutions. so,nadhani wazazi walikua na sehemu kubwa sana ya kuhakikisha upendo unakuwepo. oh,nakumbuka nikiwa std 1,my grandma alikua mzee sana. lakini was always telling us abt loving each other.madingi nao walikua wanaambiwa wawasiliane sana blah blah!
wifi,i will say this over and over again! u ar a jelly good mother and a superb wife, leave alone the obvious fact that u ar a good wifi too! i lov the way u handled these two! hawa wapwa zako 5 wakifunga shule tu ntawafukuzia kwako,mungu awasaidie lile ghorofa lenu likamilike salama.
nilichotaka kusema ni kuwa inawezekana culture zetu haziruhusu 'namna fulani'
ya kuonesha mapenzi kwa wanafamilia.......ingawa tunabadilika siku hizi.....
kuna mtu yeyote humu above 30 ambae anakumbuka kumuona baba yake 'akim busu 'mama yake
katika siku ambayo haikuwa harusi wala birthday hivi????/
People need strong family ties to feel loved and safe in this world. The world of today is the world of scientific innovation and it's changing at a very fast pace, these good changes have unfortunately led to many changes which are not good, many people do not consider it necessary to live with those people with whom they have blood ties, although this might have some positive effects such as the number of dependents.
Ngoja niishie hapa kwa sasa namuwahi paroko kanisani nikatubu dhambi zangu.
PA will be right back nikiwa nimeishatubu dhambi
People need strong family ties to feel loved and safe in this world. The world of today is the world of scientific innovation and it's changing at a very fast pace, these good changes have unfortunately led to many changes which are not good, many people do not consider it necessary to live with those people with whom they have blood ties, although this might have some positive effects such as the number of dependents.
Ngoja niishie hapa kwa sasa namuwahi paroko kanisani nikatubu dhambi zangu.
PA will be right back nikiwa nimeishatubu dhambi
QUOTE=The Boss;2619762]nilichotaka kusema ni kuwa inawezekana culture zetu haziruhusu 'namna fulani'
ya kuonesha mapenzi kwa wanafamilia.......ingawa tunabadilika siku hizi.....
kuna mtu yeyote humu above 30 ambae anakumbuka kumuona baba yake 'akim busu 'mama yake
katika siku ambayo haikuwa harusi wala birthday hivi????/
PA leo lazima ulipe faini
Ulikuwa wapi aise nimekutafuta hivyo au ulienda kwenye ile nyumba ndogo.
Ahh nimepata picha ndo maana unamuwahi paroko kutubu sambi sako
Mambo mkuu
(AshaDii samahani nimechakachua siredi)
Boss duh pagumu sana hapo
Sijawahi mwona baba akimkiss mama may be wanafanyia rum kwao huko ila wazi sijawahi shuhudia
umeonaaa ehhh?
lakini probably utakuwa umemuona akimfokea au hata kumpiga....
isnt it funny???????
PA hakwalify kua na nyumba ndogo... maana hata kiwanja hajanunua kwa sasa... acha kumpa misifa....lol... Kuchakachua inaruhusiwa... BUT iwe ndani ya topic....
Ngabu appreciated for the submission… and your post leaves me no angle of which I can ask anything further…. Ila aside from the post… I have confidence you do not live in seclusion and that you have seen/observed other families live… by means of that as a foundation of information what can you say…
For what they are worth here are my two cents. If I am way off base please don't hesitate to let me know.
I am of the opinion that it is imperative, as a parent, to treat your children lovingly and fairly. Don't show any favoritism for its negative impact could be un-doable.
As a responsible and loving parent, it is your fatherly or motherly duty to instill in your children the values and morals necessary to make them good human beings. Teach them the basic life skills that are needed to lead a simple but good life. I have colleagues of mine that lack these skills. One colleague, she is in her early 40s and she doesn't even know how to go look for a place to stay e.g. an apartment or condo. As incredible as it may sound, it is true!
From an early age tell them that kind actions do cause kind reactions. Teach them about the golden rule. Remind them that their blood relationship is the lynchpin, the be-all and end-all of their existence. Make sure you belabor this point throughout. Trust me, this is a tried and true method if you want to instill some lifelong values.
No amount of money or material things can top the values, morals, and basic life skills that you will instill in your children. Therefore, I believe, if you leave such a legacy behind the rest is corollary.