Qemu This is mostly intended for bachelors and bachlorrete only!....if you knwo what i mean....kama marrie di am sure utakuwa na tahadhari ya kurudi home after late hours.....na ikiwezekana inabidi umjulishe your significant others ila usilete kasheshe at work place....(stricylt business)
Hiyo Research nimeshafanya tayari usiwe na shaka m2wangu!...and thanks for your concerns/advice..you are such a nice people.....
Kelly hii idea mwenyewe nishaipresent kwa vibopa hapo bongo wakanitoa nduki na mikashfa kibao kuwa sina adabu/maadili/heshima, ila bado sijakata tamaa. Mimi nafikiria kufungua Dodoma uko karibia na bungeni najua sitokosa soko.
Kelly,
Ukifanikiwa basi nipe tip za mwanasheria wako ili na mie nifungue SEX SHOP kama hii aliyotembelea Michuzi.... Au tayari Wahindi na Wachina wameshaanzisha? Ni vema kuwafahamu washindani wako.
Mimi pamoja na kwamba sichagui biashara, lakini kikwazo kikubwa ni uhalali wake kisheria na kijamii kwa muda huu. Ijapokuwa kwa maana ya wateja unaweza kuwapata wengi, nina shaka watu walioko kwenye mfumo wa serikali bado hawajawa na mawazo ya ki hivyo (enzi za Mwalimu) na hivyo kukubaiwa itakuwa ngumu, vile vile kwa wananchi wa kawaida.
Zaidi zaidi utakuwa ummempa shigongo and co a foraging ground for news..si unajua tena.?
Before you go any further,try to find out if the law allows this!!!!!!!!
You might find yourself landing in jail!
best place is near a fish market in dar-near there there is a huge colonial house white in colour........!!!
Kidogo unanikanganya, umesema the bizy is for bachelors and bachelorette, na ni for cash, NO SEX, ni macho tu kufanya kazi! WHY TESTING kwa wateja au watoa huduma wako (Strippers?) Au umegundua kwamba since kuna mmoja umejibu kwamba it's more about making lots and loads of cash, so cash lazima itapitiliza na kununua au kufuta kazi ya macho kufanya kazi?
Ninachojua hizo clubs MOSTLY huwa na rooms, kwa anayeshindwa kwa macho vyumba huwa ni kimbilio though ni a bit expensive ili ku-discourage, though mtu anaeenda kwanza huwa amejiandaa, so cash kununua anachotaka huwa si issue!
Kwanza Kelly kumbuka au jua target group yako for the bizy ni watu wa aina gani? Ni zaidi ya bachelors and bachelorette, ina-involve stressed guys (married and unmarried), "lifeist", etc, na ndo huwa watumiaji wazuri!
Otherwise its a capital intensive bizy, if u r really into it, make cash babie!
BTW Psalm 23:1-10 inaendana na hiyo bizy?
Hii ni idea nzuri and unique, lakini fuatilia kwanza kwanini JJ club pale Kinondoni block 41 nyuma ya Best bite ilifungwa. Nafikiri hapa Bongo hatuna, sijui kwa majirani zetu!
Nyumba ya sanaa kuna mgogoro, NMB Bank wakishirikiana na Mirambo Properties (NIC party in South Africa) owner of 50Milambo property wanataka kuingia JV na Nyumba ya sanaa Ltd na kuweka ghorofa kumi. at the same tym kuna prospective party mwingine alikuwa anataka kujenga ghorofa 30 na akawa ashasaini JV agreement lakini akapigwa chini kwa sababu ANC na NMB wana backup, technical know who, e.t.c.. Pitia kidogo hapa ujionee..........
http://www.thecitizen.co.tz/newe.php?id=13505
http://www.thecitizen.co.tz/newe.php?id=13885
http://www.thecitizen.co.tz/newe.php?id=13590
Kuhusu kupata sehemu nyingine hebu check na Expertboker at 0754 85 82 45, ana vitu vya ukweli na ni mtaalam wa ku-advise!
Natafuta Location ya kufngua strip and Gentleman club in Dar!....Kuna mtu ana idea ya any great location?...Nilikuwa nafikiria mitaa ya pale downtown karibu ha zamani sheraton hotel/jumba la sanaa...
business mind hebu nipeni idea ya great location ya kufanya vitu kama hivi nahitaji sehemu iliyotulia haina fujo wala vibaka...High quality...maana target ya hii joint nayotaka kufungua ni kwa watu poteantial customer wenye hela zao ambao wanajua kutumia na kutoa tips ya maana......
xoxo
Vp dada hii biashara uligaili ukaamua kutangaza NIA kwa NN?
Before you go any further,try to find out if the law allows this!!!!!!!!
You might find yourself landing in jail!
:confused2::confused2::confused2:Vp dada hii biashara uligaili ukaamua kutangaza NIA kwa NN?