Dr.kapama
Senior Member
- Nov 12, 2011
- 180
- 34
Stress huja unapotaka kila mtu aishei vile utakavyo
stress huja unapotaka kumplease kila mtu
stress huja unapotamani vitu unavyojua huwezi kupata
stress huja unapokuwa na wivu usio faida na maendeleo
nasema stress huja,unapomtaka manzi,unashindwa kumwambia,halafu rafikiyo anamchukua...
stress huja unapotaka kumplease kila mtu
stress huja unapotamani vitu unavyojua huwezi kupata
stress huja unapokuwa na wivu usio faida na maendeleo
nasema stress huja,unapomtaka manzi,unashindwa kumwambia,halafu rafikiyo anamchukua...