Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Hii nakubaliana nayo!Rejao=JK
Hii nakubaliana nayo!Rejao=JK
Nakushauri ujiite anko klorokwini. Hii profeshen ya ubabu wameshaivamia mafisadi wengi haina mashiko tena. Hapa natumia uzoefu tu..... Hahaha angalia usije ukadanganywa na avatar ukajikuta unataka kupreeze na Kipipi au Erotica. FYI Kipipi ndo Kingunge Ngombale Mwiru na Erotica ndiyo Paw.Halaf karibuni nitaanza kujipakazia mimi ndio Asprin nipate kuwapreeze kiulaini hawa vijukuu vyako. GGia ya uzee inalipa fellow tablet,lawyer nimestukia
Hahaha hahah hahah!Khaa!......... Sikujua watu wanataka ni RIP mapema namna hii!
Hahaha hahha haah! klorokwini hilo nalijua sana,Ile picha aloweka Rejao fesbuku sio ya kwake ujue. hehehe heri mie sijasema
Nakushauri ujiite anko klorokwini. Hii profeshen ya ubabu wameshaivamia mafisadi wengi haina mashiko tena. Hapa natumia uzoefu tu..... Hahaha angalia usije ukadanganywa na avatar ukajikuta unataka kupreeze na Kipipi au Erotica. FYI Kipipi ndo Kingunge Ngombale Mwiru na Erotica ndiyo Paw.
Hahahaha......... basi naona ujiite padre klorokwini. Nakumbuka Masanilo alijiita mchungaji foleni za mashore zikawa kubwa mpaka akainguia mitini. Ukiona upadre haulipi jiite Askofu au Shehe. Kazi yako ni kusuluhisha matatizo ya mahusiano.heheeh gia ya anko haina mpango wowote , wewe huoni anko Kaizer mpaka leo anahesabu shkamoo tu, akiongeza neno zaidi ya marahaba, jamaa wanamwambia watamsemea kwa shangazi . Imekula kwake.
halaf fellow tablet apo kipipi na erotica mbona tunakatana stimu bana, ujue kuna mmoja tayari nimeanza kuwekeza apo
Hahahaha......... basi naona ujiite padre klorokwini. Nakumbuka Masanilo alijiita mchungaji foleni za mashore zikawa kubwa mpaka akainguia mitini. Ukiona upadre haulipi jiite Askofu au Shehe. Kazi yako ni kusuluhisha matatizo ya mahusiano.
tag imekua balaa
Hahaha hahha hahah..eti.. Cantalisia..wifi yako. Preta nani sasa...maana..kama anafanana nanii vile ...
.....hahahahahahaha..nilikuwa nawaza sawa na wewe dada. Cantalisia....ila usimwambie kama tumemjua..siri yetu
Yaani Ruhazwe JR we acha tu! inabore sana!
Nilikuwa natania tu, nina mpango wa kuanzisha kiwanda cha ice cream ya korosho huko kiborloni. Tuma CV yako kama bado hauna kibarua
Afu we Kongosho asali ya odm hebu nambie huyu fellow tablet klorokwini ameshaisoma hii yuziful post na kuiogongea like kwa msisitizo wa kwenye red hapo?
...kiongozi uko...kwema lakini. TANMOAisee Arifu naona umenifananisha na waimba mipasho Bana..
Nasikia eti Erick52 ni Alhaji Ndolanga