Straight Talk Africa: 50 years of Independence for Tanzania

ii
Membe is another crap who doesnt know what he is saying, especially how he has reponded to the last question about MV Bukoba and MV Spice Islanders. He did not say why are these events are keeping on recurring. These guys are actually JANGA LA KITAIFA. I hate CCM and their allies
So, kumbe hapo penye RED hata angesema nini ni kwamba unawachukia tu,, Wacha kuji contradict wee kampichi mbelewele
 
kama kuna kitu kinakera ni kauli kama fulani anaungurma, anamwaga cheche, awasha moto, afunika etc. pure crap.... Membe will never roar, he is not a lion

afterall he just another crappy politician who would do better kwenye utumishi wa umma kwani hajui kuongea... he pretends to be very serious vocally but nothing more than that
 
kama kuna kitu kinakera ni kauli kama fulani anaungurma, anamwaga cheche, awasha moto, afunika etc. pure crap.... Membe will never roar, he is not a lion

afterall he just another crappy politician who would do better kwenye utumishi wa umma kwani hajui kuongea... he pretends to be very serious vocally but nothing more than that

Mkuu...Ulitaka aongeaje kwa vigezo vyako?
 
Mkuu...Ulitaka aongeaje kwa vigezo vyako?
yupi sasa mleta mada au Membe??

Kama ni mleta mada then issue yangu ni kauli kama kuunguruma, etc

kama ni Membe, i dont care aongeeje kwani kwa wanaomjua... he is not a good speaker/motivator, he is a better desk officer!! and he has no room for improvement

Just another crafty politician
 
:drum: Si kosa letu, maana kwa mapokea ya watanzania, yule anayeweza kuongea mengi na ujanja wa kunyumbua maneno yaonekane matamu ndio tunaona anajua kujibu hoja bila kuangalia jins i mtu navyoijibu hoja bila kuzunguka. Akina membe wanaongea mengi lakini mwishoni utaona bado hajajibu swali aliloulizwa na hivyo watu kubaki na maswali mengi yasiyojibika, hapo ndio matatizo yalipolala.

Viongozi hawa wanatakiwa kujifunza kujibu maswali wanaopongea na vyombo vya kimataifa, sasa wao wanaendelea kujibu maswali yao kwa usanii ule ule wanaoongea kwa watanzania.

Tatizo la meli kuzama Zanzibar baada ya iliyotokea Ziwa Nyanza ni kwa kosa lilelile la kuzembea kujali vigezo vya uzito au ujazo kulingana na uwezo wa meli hiyo, lakini Membe amezungukazunguka na kuacha shimo kubwa katikati lingali na kina nani atakayelifunika? Labda bosi wake mvumbuzi wa mabara, aka Vasco da Gama.

Milipuko ya mabomu hata kama halijaulizwa ni matatizo yale yale na yametokea kwa mazingira yale yale, lakini hapa tunafikiri usanii wa kujibu maswali kisiasa badala ya kujibu kwa nini kosa halisahihishwi baada yakutokea la awali na kwa uzembe uleule. Je hatua gani zilichukuliwa baada ya kosa kujirudia? Huku ndo kukua kwa taifa kufikia miaka 50?
 
Candid Scope umelieleza vizuri tatizo hili. Huko Marekani siku hizi staili hii inajulikana kama PALINISM - Bi Sarah jemadari wa Tea Party (siasa kali) lakini kila anapokuwa katika mahojiano na wanahabari hajibu anachoulizwa. Badala yake anaongea yale ambayo amaeishapanga kuongea! Haya ndio anayofanya Gamba Membe. Haya haya ndio niliona jana huko NY Mkuu wa Magamba anafanya katika paneli ambamo ndiye peke yake alikuwa mkuu wa nchi! Jamani Wamarekani wanajua kuchezea wanyonge wao!!!!!!! Niliposoma vichwa vya habari vya magazeti ya TZ na mabloga wote wameandika "Kikwete anguruma UN", Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap.
 
Substance iko wapi katika mazungumzo ya Membe;

1. je kazungumzia kitu gani kuhusu ugumu wa maisha tangu tupate uhuru miaka 50 iliopita???????????

2. akina mama wanapata maji umbali gani toka majumbani ukilinganisha na kipindi kilichopita???????

3. Demokrasia na utawala bora imeimarika kiasi gani ukilinganisha na awamu ya Mwalimu Nyerere (DC Igunga na Kahama)??????

4. Vifo vya watoto wachanga na akina mama wajawazito ikoje????????

5. Uwiano kati ya mwalimu mmoja na wanafunzi nchini ikoje?????

6. Uwiano kati ya dktari mmoja na wagonjwa Tanzania ikoje???

7. Bunge la sasa hivi linalo kasi na ubora kiasi gani kutunga sheria za nchi ukilinganisha na huko nyuma??????

8. Gharama ya kufanya biashara nchini mwetu ikoje, Ufisadi kwa sana au???????

9. Haki mahakamani kwa watuhumiwa ikoje???????

10. Ukaribu wa chama 'tawala' na vyama vya ushindani ukoje???????

11. Gawio la pato la taifa kwa kila kichwa kinaonyesha nini???????


101. ........... nk; jaamae naomba msinipigie kelele hapa hata kidogo kwa WACHUUZA MANENO wanapopata nafasi kwenye kioo!!!!!!

Mzee Mwanakijiji, ni nani amewaleta hawa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje hapa jukwaani kuja kumpamba bosi wao kama ng'ombe wa kukokota jembe vijijini wakati mazungumzo yake yote yalikua ni porojo tupu na kuendelea tu kuuza sura kwenye kioo????????

Great Thinker nawashilisha hoja kuhoji kelele za Great Stinkers hapo juu.
 
Lakini baadhi ya 'Great Thinkers' wetu hapa JF wakati mwingine mpaka kero.

Hiki kitendo cha kuamua kuunga mkono hoja au kuupinga LAKINI bila kutandarua sababu za msingi na zisizoacha maswali akilini mwke msomaji wako sana sana inasaidia tu kukusaliti na kudhihirisha jinsi gani ulivyo mweupe kama si 'Great Stinker' of the first order.

Kilichomfanya Membe aonekane Brainy akizungumzia miaka 50 ya uhuru wa nchi yetu ni kipi hasa kama ukweli ni kwamba hakugusia kwa kina hata hoja mojawapo hpo juu????????? Ulimpima vipi hasa wewe mwenzetu hapo????



Membe is brainiac...sikiliza hoja zake...
 
Afadhali hata wewe ambaye hujaangalia kwa sababu hata mimi niliyeangali nimeshindwa kupata summary ya nini haswa ameongea Mh. Membe.Ni kama hakukua na jipya zaidi ya kuelezea amani tulionayo na mafanikio ya kitendo cha kuungana na Zanziba(kwa maana ya muungano kudumu muda mrefu kwa kutatua kero).

Membe kama kawaida yke, hakuwa na jipya anababaika tu kujieleza na mambo yake ya Diaspora ambayo kwa wengi inaonekana haina mashiko!!
 
Asante kwa taarifa, kumbe ni Membe. Nina sababu ya kuangalia. Kuna tofauti kubwa kati ya bwana huyu na mawaziri wenzake pamoja na controversies zake. He is bold enough, he confronts, this is a rear specie katika uongozi wa tanzania wa leo.

Nakubaliana na wewe. Hizo controversies ambazo ni imaginery zikae kando.
 
Lakini baadhi ya 'Great Thinkers' wetu hapa JF wakati mwingine mpaka kero.

Hiki kitendo cha kuamua kuunga mkono hoja au kuupinga LAKINI bila kutandarua sababu za msingi na zisizoacha maswali akilini mwke msomaji wako sana sana inasaidia tu kukusaliti na kudhihirisha jinsi gani ulivyo mweupe kama si 'Great Stinker' of the first order.

Kilichomfanya Membe aonekane Brainy akizungumzia miaka 50 ya uhuru wa nchi yetu ni kipi hasa kama ukweli ni kwamba hakugusia kwa kina hata hoja mojawapo hpo juu????????? Ulimpima vipi hasa wewe mwenzetu hapo????

Kumbe kwa nini wewe unapinga wakati hata hujasikiliza. Mijitu mingine bwana, chuki tuuu! Panda juu ukazibe!
 
Substance iko wapi katika mazungumzo ya Membe;

1. je kazungumzia kitu gani kuhusu ugumu wa maisha tangu tupate uhuru miaka 50 iliopita???????????

2. akina mama wanapata maji umbali gani toka majumbani ukilinganisha na kipindi kilichopita???????

3. Demokrasia na utawala bora imeimarika kiasi gani ukilinganisha na awamu ya Mwalimu Nyerere (DC Igunga na Kahama)??????

4. Vifo vya watoto wachanga na akina mama wajawazito ikoje????????

5. Uwiano kati ya mwalimu mmoja na wanafunzi nchini ikoje?????

6. Uwiano kati ya dktari mmoja na wagonjwa Tanzania ikoje???

7. Bunge la sasa hivi linalo kasi na ubora kiasi gani kutunga sheria za nchi ukilinganisha na huko nyuma??????

8. Gharama ya kufanya biashara nchini mwetu ikoje, Ufisadi kwa sana au???????

9. Haki mahakamani kwa watuhumiwa ikoje???????

10. Ukaribu wa chama 'tawala' na vyama vya ushindani ukoje???????

11. Gawio la pato la taifa kwa kila kichwa kinaonyesha nini???????


101. ........... nk; jaamae naomba msinipigie kelele hapa hata kidogo kwa WACHUUZA MANENO wanapopata nafasi kwenye kioo!!!!!!

Mzee Mwanakijiji, ni nani amewaleta hawa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje hapa jukwaani kuja kumpamba bosi wao kama ng'ombe wa kukokota jembe vijijini wakati mazungumzo yake yote yalikua ni porojo tupu na kuendelea tu kuuza sura kwenye kioo????????

Great Thinker nawashilisha hoja kuhoji kelele za Great Stinkers hapo juu.

Jazba za nini? Jiue basi. Hayo unayozungumzia yangekuwa maswali mazuri sana ya kumuuliza kama ungsikiliza kipindi. Ya kuzungumza yalikuwa mengi na ameyazungumza. Wewe jadili alichoongea kwanza.
 
Membe is another crap who doesnt know what he is saying, especially how he has reponded to the last question about MV Bukoba and MV Spice Islanders. He did not say why are these events are keeping on recurring. These guys are actually JANGA LA KITAIFA. I hate CCM and their allies

You have siad it all. Kumbe comments zako ziko actuated na malice na phobia yako kwa CCM na viongozi. Tukusaidieje?
 
Kweli wadanganyika ni wengi.Kipi kimeonyesha kuwa ana jaziba hapo katika maelezo ya Uwezo tunao?.kwa mtazamo wangu ungepaswa kumkosoa kwa hoja kama yeye alivyoeleza kwa ufasaha na kwa kupangilia hoja.Inawezekana kabisa ameelezea sivyo ila hapa wewe ndio unaonekana kituko kwa kukurupukia hoja kwa kuanza kumkosoa yeye badala ya hoja aliyotoa.
Jazba za nini? Jiue basi. Hayo unayozungumzia yangekuwa maswali mazuri sana ya kumuuliza kama ungsikiliza kipindi. Ya kuzungumza yalikuwa mengi na ameyazungumza. Wewe jadili alichoongea kwanza.
 
Mbopo, naamini kati yangu mie na wewe hapo lazima kuna Great Thinker na Great Stinker hapa, lakini ni yupi kati yako wewe na mimi hilo naliacha wazi kwa wanajukwaa kutuamua kwa kuzingatia hoja zangu hapo juu na zile ulizotoa wewe juu ya huyu bosi wako Waziri Membe na mahojiano na VoA hapo jana.

Jazba za nini? Jiue basi. Hayo unayozungumzia yangekuwa maswali mazuri sana ya kumuuliza kama ungsikiliza kipindi. Ya kuzungumza yalikuwa mengi na ameyazungumza. Wewe jadili alichoongea kwanza.
 
Membe amekuwa Dr???

Straight Talk Africa

41780_36235438073_6938_n.jpg


Mhe. Dr. Membe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa hewani akijaribu kufafanua masuala ya Tanzania ikiwemo uraia wa nchio mbili (Dual Citizenship)

Dr. Lyungai Mbilinyi, Secretary of the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA) joins host Shaka Ssali to discuss the upcoming conference marking 50 years of independence for the east African nation as the organizations looks closely at the impact of the diaspora on the countries political and economic success. http://www.dicotaus.org/



Watch Star TV: Voice of America - Info | Facebook








  • Straight Talk Africa
    Here's our Question of the Week: "What is single most important accomplishment that Tanzania has achieved during the last 50 years of independence? Send an email to africatv@voanews.com or post a comment right here on our Facebook page ...and let us know"
 
Back
Top Bottom